King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
sentensii yako ya mwisho imeondoa maana nzima ya hiari uliyojifanya unaiandika mwanzo,mambo ya zero balance na mabilionea kuchoma yanaingiaje kwenye uhiari???????kwa hiyo tuwaige mabilionea kwa sababu wana billions in their bank account???????ACHENI UROPOKAJI NA PROMOTION ZA KIJINGA ,ACHENI MTU ACHAGUE MWENYEWE TUSILAZIMISHANE😉
Ndugu globes ndo nn?nway Jamaa anaulizia gloves sio globes...hizo globes ht msipo vaa poa tu, ila gloves shurti uvae, unless hujaiva ktk sekta ya utabibu, your careless, hujali or hujui nn unapaswa kufanya.Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Anasambaza hepatitis kwasababu ya TV Show!Yaani akimaliza mmoja anafata mwingine hao wanaodungwa hawawezi kuambukizana kweli ,
Manake kiutararibu unatakiwa kila mtu ahudumiwe kwa gloves Mpya
Sasa hapo ikulu no gloves anahudumiwa huyu anawekewa pamba kuzuia damu kuna uwezekano damu imetoka kidogo imebaki kwa mchoma hiyo chanjo ambaye hana gloves, akimaliza anakuja mwingine anamhudumia bila glove naye anamuweka pamba kuzuia damu hapo kuna uwezekano wa kuambukizana magonjwa ya contagious
IPC 0 wewe acha kujisifia kufanya kazi kienyeji. Uzoefu wako wa RCH hauhalalishi kufanya kazi kienyeji au ndo ulivyofundishwa chuoni?Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Mnafanya kazi kwa mazoeaMimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Daaah huyu nae ni daktari....Gloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asiambukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anayemchanja ikitokea huyo anayechanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.
Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu au hakikisha kabisa hugusi damu yake. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu pia ina madhara yake (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.
Hao waliochanjwa leo hakuna wasi wasi huo. Pia waliotoa chanjo hizo leo ni wabobezi wa kazi hiyo na hivyo hawawezi kabisa kugusa damu ya mtu waliyemchanja. They know the technique very well. Nadhani uliona kila aliyekuwa akidungwa hiyo sindano alivyokuwa anashikilia damu yake mwenyewe kwenye swab (kipamba) aliyopewa. Ila wachanjaji watakaokuja kukuchanja wewe lazima watavyaa gloves kama walivyovaa walipokuwa wanamchanja huyo rais wa amerika, kwani watakuwa na wasi wasi na wewe wa kutokuwa na virusi vya hiv and hepatitis.
AsanteHauwezi kuwa serious wewe. Mhudumu wa afya haujui hata umuhimu wa preventive measures?
toka magu afariki ikulu imejaa wajinga, hii kitu inaonyesha upeo mdogo wa viongozi maana hapo ilitakiwa mambo vyafanyike kwa kiwango cha kimataifa ,vipofu wanaongozana hakuna hata mmoja aliye baini uzembeLeo nineona maajabu ya watu wanaotakiwa watuelimishe kuhusu afya zetu wenyewe hawajui ata lufata tararibu za kulinda afya ze wengine!
Tusipoelewa msitulamu mjue tu nyie ndiyo chanzo chakuletq mkanganyiko katika jamii.
Hali hii mmelifanya kwenye camera! Je! Mkiwa pekeyenu si ndiyo mnapuyanga
nilisema mimi siku nyingi wasomi wa tz hawana AKILI NI KAMA KITABU TU KINA ELIMU ILA HAKINA AKILIShida ya madaktari wa mwendokasi. Kwanini hajavaa gloves?
Hii nchi professionalism ni tatizo
VYETI FEKI WALIO SALIA NDIYO MAANA WANAMCHUKIA MAGUFULINesi wa Mwendokasi hata glove anaandika globe.
kawaida kivipi bana yan umejichokonoa huko utokako then uje uniachie bacteria wako,ndo mana maradhi hayatuishi jaman mweeeMimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
huyu atakuwa wale wa kamlete tu
WAKATI WAO WAKIPATA MADHARA YA CHANJO MOJA KWA MOJA WANAUDUMIWA BURE KWA PESA ZA WALIPA KODI MASIKINI[emoji38][emoji38][emoji38] Tunaambiwa hawatawajibika na madhara tutayopata tokana na hizo chanjo feki zilizokataliwa US. Akili kichwani