IKULU, inakuwaje Rais anasimama upande wa kushoto halafu Dangote kulia? Hamna watu wa Protocol?

Mambo mengine mkuu tumerithi Kwa wakoloni tu lakin kimsingi hayana maana yoyote wala athari zozote kiuchumi, kiutamaduni wala kisiasa.
EeenHeee!

Ninakubaliana na wewe; lakini kesho kutwa tusikie jina la Rais likitamkwa la mwisho kwenye hadhara fulani hivi, halafu tusikilize makelele yatakakotoka, pamoja na kwamba kwa kufanya hivyo hakutuongezei pato lolote.
 
We jamaa ndo umenitoa matongotongoo,nimeaanglia upya Ni ukwel unachosema🙌
 
Tafuta pesa mkuu.
Mwanaume ukikosa pesa unakuwa mtu wa kufikiri mambo ya hovyo hovyo yasiyo na tija yeyote.
 
Dangote amesimama upande wa kulia wa mama samia.

Wajuaji wanataka Dangote asimame upande wa kushoto wa Mama Samia. Umeelewa?

Kama bado hujaelewa njoo PM
Alaaaah! Kuuuumbe,
Shukrani kwa ufafanuzi lakini PM hiyo kwiooo
 
SSH anaonekana mwenye mawazo sana, ashaanza kuuza nchi ovyo ovyo na kuwapa ulaji wana mtandao, hiyo huzuni ni ya nini ?
Something wrong, na angalia vidole vya mkono wake wa kushoto as hayuko relaxed.
 
Usinifokee
 
Hii umeiedit si halisia kama ya mtoa post. Tazama hapo juu kwenye nembo ya taifa ndipo utaelewa, kama vp fanya kuedit na hiyo nembo ili mjadala uendelee
Yaani tena ka edit kiboya kweli,
Alisahau kurekebisha nembo,
Imemuumbua
 
hadi picha protocol....protokalii ya nyokooo
 
Dah! watu mnakashfa sio kawaida[emoji23][emoji23]
Hebu jiulize tu na wewe kitendo cha Samia kukaa kushoto kimemshusha cheo kutoka Urais hadi mwenyekiti wa kijiji au bado ni Rais wa JMT?

Mleta mada hana pesa na ana muda mwingi bila kitu cha kufanya ndio maana anapata muda wa kufikiri na kuleta useless threads kama hizi.
 
Kwani kati ya tajiri na maskini ni nani mkubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…