IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

Sasa mbona hujateuliwa na wakati ni chawa mpaka ameteuliwa marehemu?
Nani kakwambia nipo hapo kwa ajili ya uteuzi. Nchi hii ina watu wangapi? Inawezekana vipi wote wakawa viongozi? Suala la kuteuliwa Marehemu ni makosa madogo sana ambapo kumbuka ya kuwa uteuzi hufanyika mapema kabla ya siku unayopewa wewe taarifa. Ndio maana kuna wakati huwa unasikia kuwa uteuzi huu ulianza siku fulani.
 
Haya tunaopinga David asiteuliwe kisa siyo mwanahabari, je huyo aliyeondolewa kafanya nini zaidi ya written press?.

Haya anayekuja kama ndiye si alikuwa na huyo aliyetolewa section moja?, nini kipya kitakuja?.
 
Aiseeh! Kafulila ana chawa wake humu kazi zao ni kussuport Jambo la Kafulila na kufukua nyuzi za zamani na kuzijaza hapa JF.
 
Watanzania tuheshimu taaluma za wengine.
Mkurugenzi wa Mawasiliano ni mshauri wa rais wa mambo ya habari.
Kitaaluma anatakiwa kuwa mwandishi wa habari.
Haiwezekani kuokoteza watu wa taaluma nyingine kufanya interview na CNN nk, kwa niaba ya rais.
Kafulila aendelee na majukumu yake.
Kazi ya habari tuwaachie wana habari.
 
View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.

Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.

Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.

Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.

Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,

Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.

Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.

Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.

Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.

Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa

Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.

Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.


Kafulila kazi za umma unafanya lini muda wote uko jf kujipigia promo.

Una ujinga mwingi ?
 
Mbona Kafulila ni mwana CHADEMA? Alienda huko baada ya kuitwa na Magufuli ila sio mwana CCM yule.
🤣🤣🤣Kafulila CHADEMA ila nyie jamaa wivu utawaua mpaka Mama mnasema ni ACT
 
View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.

Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.

Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.

Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.

Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,

Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.

Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.

Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.

Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.

Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa

Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.

Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.


Kafulila umeamua kujipakulia minyama.
 
Back
Top Bottom