Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umedhirisha ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri , unaishia kuwaza ubwabwa kwenye Ishu kubwa ya nchiWalikimbilia ubwabwa wa bure wakakuta za uso zinawangojea.
Na vibandiko vyao vya rangi rangi, sura ziliwaparama.
Watu wengine wako kimya, wakijibu hujibu kwa vitendo tu.
Pale hata Mpoto asingesema lolote, kile kitendo tu cha kusaini mikataba lilikuwa ni makofi makali sana kwa wale wa rangi rangi.
Hao watu kwa ubwabwa huwawezi kabisa.Umedhirisha ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri , unaishia kuwaza ubwabwa kwenye Ishu kubwa ya nchi
Inaonyesha Ni Aina ya mwanamke uliyejishusha thamani yako Sana, kwamba unaweza kurubuniwa kwa ubwabwa tu.
Hivi kwa akili yako katibu wa Tec Ni mtu anashindwa kula Aina ya chakula chochote anachotaka ?
Wenzako walishavuka hizo level za kuwaza ubwabwa wanafikiri namna ya kusaidia nchi yao na kizazi kijacho ,
jitahidi uvuke level za ubwabwa Kwanza ,ndo uje ujadili masuala ya nchi
TEC walienda kufanya nini walipoambiwa kuna hafla? Wlikuwa wanawaza ubwabwa tu. Kufika wakachezea za uso.Umedhirisha ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri , unaishia kuwaza ubwabwa kwenye Ishu kubwa ya nchi
Inaonyesha Ni Aina ya mwanamke uliyejishusha thamani yako Sana, kwamba unaweza kurubuniwa kwa ubwabwa tu.
Hivi kwa akili yako katibu wa Tec Ni mtu anashindwa kula Aina ya chakula chochote anachotaka ?
Wenzako walishavuka hizo level za kuwaza ubwabwa wanafikiri namna ya kusaidia nchi yao na kizazi kijacho ,
jitahidi uvuke level za ubwabwa Kwanza ,ndo uje ujadili masuala ya nchi
Kama ndivyo basi alipenda mwenyewe kwenda... Asilalamike!Inaoonekana, hujui ulinzi unaokuwepo kwenye maeneo ambayo RAIS anakuwepo.
KIFUPI:-Ni tofauti sana na vikao vya baba mkwe.
Jifunze kuficha ujinga wako kwenye Ishu kubwa zinazokuzidi uwezo haswa za kitaifa,TEC walienda kufanya nini walipoambiwa kuna hafla? Wlikuwa wanawaza ubwabwa tu. Kufika wakachezea za uso.
Kwanza futa kauli yako "waliitwa"m hawakuitwa. Walialikwa kuwa kuna hafla, unafahamu maana ya "hafla'?Jifunze kuficha ujinga wako kwenye Ishu kubwa zinazokuzidi uwezo haswa za kitaifa
Uliambiwa waliitwa na Amiri jeshi mkuu bila kupewa sababu
Unajua majukumu ya Amiri jeshi mkuu?
Yule mpoto ndio chawa rasmi wa jumba jeupe, ipo siku wataenda ikulu kuimba ipitishe kwa chini kama sio upo nyonyo upo titi kabisa, vitu vya ajabuMkuu tatizo sio mwaliko, tatizo ni kejeli ya mrisho mpoto,
wapo wana music wenye heshima kama mwanaFA na Vicky Kamata kwanini wasutumike kutumbuiza dhima za taifa? Ndio maana ujio wa obama cia walisimamia kila kitu hadi media caverage, hakyamungu kuna siku Fr Kitima atanenguliwa na zuchu mbele ya kadamnasi kama hatutachukua tahadhali
Inaonyesha wewe ni mzito wa kuelewa au unajitoa ufahamuKwanza futa kauli yako "waliitwa"m hawakuitwa. Walialikwa kuwa kuna hafla, unafahamu maana ya "hafla'?
Hivi unataka kunambia na ujanja wao wote wameenda kuvizia ubwabwa bila kuelewa walichoalikwa ni nini na waalikwa wengine ni kina nani?
Anawafananisha na wale wa kwake ambao kwenye mlo lazima wapigane. Au tumpe na picha za ngumi kwenye ubwabwa? Wenyewe wanasema ni sunnaUmedhirisha ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri , unaishia kuwaza ubwabwa kwenye Ishu kubwa ya nchi
Inaonyesha Ni Aina ya mwanamke uliyejishusha thamani yako Sana, kwamba unaweza kurubuniwa kwa ubwabwa tu.
Hivi kwa akili yako katibu wa Tec Ni mtu anashindwa kula Aina ya chakula chochote anachotaka ?
Wenzako walishavuka hizo level za kuwaza ubwabwa wanafikiri namna ya kusaidia nchi yao na kizazi kijacho ,
jitahidi uvuke level za ubwabwa Kwanza ,ndo uje ujadili masuala ya nchi
Tatizo lenu liko hapa, na hata muft analijua wazi kabisa.Walikimbilia ubwabwa wa bure wakakuta za uso zinawangojea.
Na vibandiko vyao vya rangi rangi, sura ziliwaparama.
Watu wengine wako kimya, wakijibu hujibu kwa vitendo tu.
Pale hata Mpoto asingesema lolote, kile kitendo tu cha kusaini mikataba lilikuwa ni makofi makali sana kwa wale wa rangi rangi.
Huyu kiongozi Ana akili Sana , labda wafuasi wamwangusheTatizo lenu liko hapa, na hata muft analijua wazi kabisa.
Kuwaza ubwabwa kuliko elimu
View attachment 2797796