Haikuwa coincidence kwasababu katika kutawala na siasa kila linalofanywa linaweza kuwa na 'connotation' katika public court of opinion.
Ni hatari sana kama vyombo vya dola havijui implication ya kufanya mambo hovyo.
Sidhani ni hovyo! ni makusudi ili kufunika mjadala wa Bandari ambao ukiuangalia una uovu. Mikataba iliyosainiwa siyo kinacholalamikiwa na kilichopelekwa Bungeni.
Hivi DAB alitumika kufunika uovu , watu wawe na lesser of two evils, DP vs DAB
Waandishi wa habari wanaitwa wakati wowote na hawahitaji kujua nini kinatokea, ni nature ya kazi yao.
Wageni kama akina Kitima walioitwa kwa kadi na si wito binafsi wanapaswa kujua wanaitiwa nini.
Kwavile suala zima lilikuwa ni uovu, wakatumiwa mwaliko tu kwa kisingizo watapata habari wakifika.
Well, Mrisho Mpoto kawapa taarifa rasmi hii hapa
''Wameacha kazi ya kuchunga kondoo wapo katika siasa na wapo hapa kubugia Pilau'' .
Ukimwita mtu Ikulu unatarajia nini? Hakuna cha security, kilichofanyaika ni kuficha uovu.
Kilichojadilia si kile kilichokwenda Bungeni, wanajua hilo na wanajua hawawezi kuvunja ule mkataba wa awali.
Wameamua kuuza au kugawa Bandari za Tanganyika , tena walikuwepo wote !
Yes walikuwepo wote kwasababu suala la Bandari Wazanzibar wamesema si la Muungano sasa ilikuwaje:
Rais Mwinyi alikuwepo
Spika wa Baraza la Wawakilishi
Mtu mwenye busara hauzi uhai au heshima yake bila tafakuri na Busara. Mungu ni mkuu lakini watu bado wana mhalifu seuse mwanadamu mwenye nyama! Yuko wapi aliyedhani anamiliki Tanzania na ana kila nguvu!
Of course usipotumia busara yanakukuta ya Father Kitima wa TEC kuadhiriwa mbele ya kadamnasi.
Mpoto kasema , sasa kama ni yake au alitumwa hayo yametokea IKulu na ikulu lazima iwe responsible
JokaKuu