magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Unaondoka tu kama unaondoka Grocery?Fr. Kitima nae aachage kupenda mialiko ya Ikulu.
Haipendezi kuibuka leo wakati walishaenda na wakashiriki!
Kama aligundua utofauti wa kadi na MUKTADHA alioukuta alipaswa kuondoka!
Kwenye hili siwezi kuilaumu serikali na genge lake!