Ikulu mnaalika watu wenye heshima kijanja kisha mnawazodoa

Ikulu mnaalika watu wenye heshima kijanja kisha mnawazodoa

Kwani mualiko ni amri?? Acha woga!
Unafika pale ukikuta ni usiyoyaamini unajiondokea! Hata kama Kuna posho, ubwabwa, mvinyo ..
Hivi unadhani Ikulu ni kama ukumbi wa harusi unaingia na kutoka tuu kama upendavyo?
Hata hivyo hakuna anayelaumu mualiko au kufika kwa walio alikwa, shida iko kwenye vijembe na masemango eti ona hata waliopinga wamekuja! Huo ni ulaghai wa kijinga.
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Haya bwana, nakumbuka miaka michache hapo nyuma kuna mmoja aliwahi kusema MIMI NDIO RAISI HAKUNA WAKUNIFANYA KITU... tehe tehe tehe, Biblia imebainisha wazi, ya kwamba....HAYA NAYO YATAPITA mwenye masikio na asikie....
 
Hivi unadhani Ikulu ni kama ukumbi wa harusi unaingia na kutoka tuu kama upendavyo?
Hata hivyo hakuna anayelaumu mualiko au kufika kwa walio alikwa, shida iko kwenye vijembe na masemango eti ona hata waliopinga wamekuja! Huo ni ulaghai wa kijinga.
Yaani unaalikwa unajiendea endea tu bila kufanya ufuatiliaji...
TEC watakuwa wamebadili gia angani...
Usilaumu vijembe...
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Binafsi sikubaliani na mstari wako wa mwanzo wa mada, na kwa maana hiyo mada yote haina maana tena.

Unao uhakika toka wapi "kwamba Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika..."?

Uchaguzi utakapoharibiwa 2024/2025; hadithi zitaendelea kuwa zile zile, kuwa "Kuna uhakika Rais hakujua..."
Sijui watu wenye akili nzuri kabisa nao wanajisahaulisha namna hii kwa sababu zipi hasa?

Inanibidi tu, nikuombe radhi mkuu wangu 'Chakaza' kwa haya niliyo andika hapa, kwa sababu ninakuheshimu sana.

Samia sasa hivi kajipambanua wazi wazi, kwamba hakuna asiloweza kulifanya kwa manufaa yake. Kama Magufuli alichagua Bunge zima, sioni Samia atashindwaje kufanya hivyo, hata kama ni kwa kununua nafasi zote za ubunge huo. Yeye hatatishia kuua au kuumiza, lakini njia zake zinaleta matokeo yale yale, kama ya Magufuli na maguvu yake.
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Nchi hii mambo ya kinyemela hata kwenye hafla!?
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Dah nimeelewa. Huyu Askofu.
 
Kuna sehemu tatu za hili jambo

Kwanza, kitendo cha kumtangaza DAB kwa nafasi ya uenezi siku ile ile ya mkutano kinaashiria nia ovu iliyokuwepo kupoteza mjadala. Kama kuna jambo jema kwanini zitumike mbinu za kijima kama hizo?

Pili, kukaribisha watu kwa kadi zisizoeleza tukio kulikuwa na nia ovu, kama nia ilikuwa njema kwanini hawakuandika?

Tatu, waalikwa kwenye shughuli isiyofahamika ni tatizo. Unakwendaje kwenye tukio usilojua?

Miaka ya 80 aliyekuwa mwenyekiti wa OAU na Rais wa Liberia W. Tolbert alipinduliwa na kuuawa n S.Doe.
Doe aliita mawaziri Ikulu, wakaenda bila kujua wanaitiwa nini, wote walipelekwa ufukwe wa bahari na kupigwa risasi.

Akili ni uwezo wa kutambua au kuyaona mambo kwa haraka. Busara ni uwezo wa kuchanganua habari kwa uyakinifu

Waliokwenda hawakutumia busara

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Wewe jamaa kweli hivi unatumia akili kweli?
Yaani wewe unipe mwaliko bubu
Mimi nianze kuuliza mwaliko wa nini?

Mbona ipo wazi, kadi huwa inajitosheleza na inaeleza mwaliko ni wa nini
Acha wehu bwana, hata kama ndo utetezi usijinyofoe akili kiasi hicho.
Sasa kama umeona ni mwaliko bubu na ukaenda bila kujua unaitiwa nini kama ulikua unataka ukachinjwe wewe utakua ndio una matatizo nadhani.
 
Kilichofanywa ni na wale wahuni ni aibu sasna kwa Ikulu!
Na hii tabia ya Ikulu kualika wahuni na vishoka ktk shughuli mbalimbali na kuwapa airtime inaonyesha namna ambavyo kuna tatizo kubwa ktk Uongozi wetu wa awamu ya 5 na sita.
 
Yesu: Ukialikwa harusini kaa siti za nyuma Ili akija Bwana harusi akuulize unakaaje Siti za nyuma Njoo Siti za mbele ufurahie kalamu

Kwa Kawaida ukiwahi Siti za mbele ndio akina Mrisho Mpoto watakuona na kukuletea dhihaka
Kwahiyo, unataka kusema macho ya Mrisho Mpoto yana matatizo ya kuona mbali?
By the way, padre Charles Kitima alikaa sehemu maalum iliyoandaliwa kwa akili ya viongozi wa dini( Kwahiyo, huwezi kuamua tu kwenda kukaa nyuma, na wakati sehemu ya viongozi wa dini ipo).
NB
Inaoonekana, kuwasema vibaya viongozi hao wa TEC, kuliandaliwa mapema na hivyo eneo la kukaa lisingekuwa suluhisho la tatizo husika.
SWALI LA KUJIULIZA NI KUWA: Mrisho Mpoto alipata wapi kiburi hizo, pasina kulindwa?
 
Back
Top Bottom