Ikulu mnaalika watu wenye heshima kijanja kisha mnawazodoa

Ikulu mnaalika watu wenye heshima kijanja kisha mnawazodoa

mrisho mpoto ajitafakari sana, chid benz alitumika kumnanga lowasa, tunajua kilichomtokea baadaye, sifa za kijinga hazijawahi muacha mtu salama, ogopa sana unamnanga na kumkejeli mtu halafu yeye anajikalia tu kimya maskini wa Mungu. kuna mtu alipiga pushup majukwaan kuonyesha yuko fit na mwingine hayuko fit, leo hatunaye ila yule aliyeonekana muda wowote anajifia bado tunaye hata kama si mzima kiivyo.
 
Hii ni fedheha na aibu ikulu kuandaa mialiko ya kuviziana kama hivi

Inaonyesha wazi wanajua utapeli walofanya ndio mana wanafanya mambo kama haya

No wonder Fr Kitima alikuwa hana raha kabisa

Tuna safari ndefu sana
Serikali imefanya utapeli na uhuni wa wazi kabisa.. What a shame.. Hili litawagharimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Aibu sana !
 
Hivi hao TEC ni akina nani mpaka wao wajione miungu watu? wana nn hasa cha zaidi ukilinganisha na binadamu wengine waliokuwepo eneo la tukio? wana nn hasa kinachofanya uwape attention kubwa hivyo? NI BINADAMU TUU AMBAO MWISHO WATAKUFA, WATAZIKWA, WATAOZA NA KULIWA NA FUNZA, waache kujisahau hii dunia sio ya mama zao. Halafu card ya mwaliko unapewa private then unaipiga picha na kuiweka hadharani ni UPUMBAVU na UJUHA kwa mtu anaejitambua.
Kadi ya mwaliko ni kitu private imekuwa pumbu hizo? Acha ujinga, huoni maana ya kijadiliwacho kuwa ni kumwalika mtu ahudhurie jambo kisha umzodoe kwa vile hakujua anaitiwa nini?
Usiandike ujinga wako kama huelewi jambo!
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Fr. Kitima nae aachage kupenda mialiko ya Ikulu.
Haipendezi kuibuka leo wakati walishaenda na wakashiriki!
Kama aligundua utofauti wa kadi na MUKTADHA alioukuta alipaswa kuondoka!
Kwenye hili siwezi kuilaumu serikali na genge lake!
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
ilikua kazi ndogo tu wangeondoka mapema, kipi kiliwaweka hadi mwisho wa mambo,au posho nzuri maamuzi baadae
 
Siasa tu hizo walijua kila kitu kuanzia Ziara ya Tabora
Upo sahihi... Na kule Dr. SSH alifanya nao kikao cha ndani. Na zawadi akampa Kardinali mpya.
Haya FUTA yote, alivokuta meza kuu kuna bango kwamba ni hafla ya kutia saini mikataba ya DPW na Mpoto anatapika na kuharisha mbona hakutoka haflani??😂🤣😂🤣
 
Nimecheka sana baada ya kusoma hiyo kadi ya mwaliko. Tusiwalaumu TEC kwa sababu hawakujua maudhui ya mwaliko. Kwenye nchi ya uwazi na ukweli unaficha nini maudhui ya mwaliko. Ninawasikitikia waliotoa kadi ya mwaliko. Be frank unaogopa nini.
 
Back
Top Bottom