Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Namba za mnikulu zipo hapo kwenye kadi au hakuziona huyo faza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali imefanya utapeli na uhuni wa wazi kabisa.. What a shame.. Hili litawagharimuHii ni fedheha na aibu ikulu kuandaa mialiko ya kuviziana kama hivi
Inaonyesha wazi wanajua utapeli walofanya ndio mana wanafanya mambo kama haya
No wonder Fr Kitima alikuwa hana raha kabisa
Tuna safari ndefu sana
Kabisa walipaswa kuweka wazi lakina hapa inaonyesha kuna mambo bado hayako sawaSerikali imefanya utapeli na uhuni wa wazi kabisa.. What a shame.. Hili litawagharimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maanake huu mkataba umejaa uovu tupuSasa waliokuwa wanamshambulia fr Kitima wameona huo mwaliko!je kama ni wewe ungejua umeitiwa nini?
Hii serikali ni laghai haswa haifaiSerikali imefanya utapeli na uhuni wa wazi kabisa.. What a shame.. Hili litawagharimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba ni ule ule hakuna kilichobadilika ndo maana unafanywa siri.Kabisa walipaswa kuweka wazi lakina hapa inaonyesha kuna mambo bado hayako sawa
Tumepigwa[emoji30]
Aibu sana !Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.
Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.
Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.
Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!
Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?
Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!
View attachment 2794452
Na ndio maana walifanya kwa haraka harakaMkataba ni ule ule hakuna kilichobadilika ndo maana unafanywa siri.
Mwaliko unetaja kabisa ni kutoka kwa Amiri jeshi mkuu unadhani hilo neno limewekwa kwa bahati mbaya?Nae uroho wa ubwabwa wa ikulu umemponza, mtu umetoka kumzodoa juzi tu leo anakualika halafu bila kujiuliza we huyo kufuata ubwabwa.
Kadi ya mwaliko ni kitu private imekuwa pumbu hizo? Acha ujinga, huoni maana ya kijadiliwacho kuwa ni kumwalika mtu ahudhurie jambo kisha umzodoe kwa vile hakujua anaitiwa nini?Hivi hao TEC ni akina nani mpaka wao wajione miungu watu? wana nn hasa cha zaidi ukilinganisha na binadamu wengine waliokuwepo eneo la tukio? wana nn hasa kinachofanya uwape attention kubwa hivyo? NI BINADAMU TUU AMBAO MWISHO WATAKUFA, WATAZIKWA, WATAOZA NA KULIWA NA FUNZA, waache kujisahau hii dunia sio ya mama zao. Halafu card ya mwaliko unapewa private then unaipiga picha na kuiweka hadharani ni UPUMBAVU na UJUHA kwa mtu anaejitambua.
Fr. Kitima nae aachage kupenda mialiko ya Ikulu.Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.
Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.
Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.
Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!
Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?
Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!
View attachment 2794452
Kwani mualiko ni amri?? Acha woga!Mwaliko unetaja kabisa ni kutoka kwa Amiri jeshi mkuu unadhani hilo neno limewekwa kwa bahati mbaya?
ilikua kazi ndogo tu wangeondoka mapema, kipi kiliwaweka hadi mwisho wa mambo,au posho nzuri maamuzi baadaeKitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.
Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.
Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.
Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!
Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?
Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!
View attachment 2794452
Upo sahihi... Na kule Dr. SSH alifanya nao kikao cha ndani. Na zawadi akampa Kardinali mpya.Siasa tu hizo walijua kila kitu kuanzia Ziara ya Tabora
Jumapili saa 4Na ilikuwa inatafutwa sababu TEC yeyote asitokee iwe nongwa ndodi.