Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
Itamfaiidia nini Sasa kuupata ulimwengu wote huku akiicha nafsi yake iangamie na moto wa milele. Dini na siasa wapi na wapi. Hata yesu alisema huwezi kuwatumikia mabwana wawiliUmeonyesha hadharani udhaifu wa akili yako ilivyo. Kwani mwaliko ulikuwa wa siri? Kwani document hiyo ya mwaliko ilikuwa ya siri?
Kama Kitima ndio kaisambaza amefanya jambo la kishujaa maana tumeona uhuni wa Ikulu kuita watu kwa hadaa kisha kuwatuma chawa kuwadhihaki watu wenye heshima zao.
Haikuwa coincidence kwasababu katika kutawala na siasa kila linalofanywa linaweza kuwa na 'connotation' katika public court of opinion.I'd like to differ, it was just a coincidence, hakuna nia ovu yoyote!.
Waandishi wa habari wanaitwa wakati wowote na hawahitaji kujua nini kinatokea, ni nature ya kazi yao.I'd like to differ, it was for discreet reasons na hakuna nia ovu yoyote!. Enzi za Blaza, mialiko ilikuwa inatoka Ikulu, media tunatakiwa tuwepo bandarini saa 2 asubuhi, bila kuambiwa ni nini, halafu saa 4:00 Mwamba anaibuka bandarini katika ziara ya kushtukiza!.
Ukimwita mtu Ikulu unatarajia nini? Hakuna cha security, kilichofanyaika ni kuficha uovu.Au shughuli fulani mgeni rasmi ni Rais, hadi backdrops banners zimeandaliwa, unaambiwa ujio wa rais ni siri for security reasons. Hivyo Ikulu wako right kutoa mwaliko bila kusema ni mwaliko wa nini!.
Mtu mwenye busara hauzi uhai au heshima yake bila tafakuri na Busara. Mungu ni mkuu lakini watu bado wana mhalifu seuse mwanadamu mwenye nyama! Yuko wapi aliyedhani anamiliki Tanzania na ana kila nguvu!Kitendo cha kuitwa na the highest authority hata bila kuambiwa unaitiwa nini, justifies wewe kuitika mwito huo!.
Of course usipotumia busara yanakukuta ya Father Kitima wa TEC kuadhiriwa mbele ya kadamnasi.I'd like to differ, ukiitwa na a trusted source, the highest authority, huhitaji kutumia busara yoyote kujiuliza uende au usiede!, ni unakwenda fasta!.
Uongozi wa awamu ya 5 unahusikaje halo au unawashwaKilichofanywa ni na wale wahuni ni aibu sasna kwa Ikulu!
Na hii tabia ya Ikulu kualika wahuni na vishoka ktk shughuli mbalimbali na kuwapa airtime inaonyesha namna ambavyo kuna tatizo kubwa ktk Uongozi wetu wa awamu ya 5 na sita.
Ni muhimu tuelewe kwamba katika kujadili mambo ya faida ya jamii na taifa kwa ujumla, hakuna kuzodoana bali ni maoni kinzani yenye lengo la kujenga na siyo kubomoa.Nae uroho wa ubwabwa wa ikulu umemponza, mtu umetoka kumzodoa juzi tu leo anakualika halafu bila kujiuliza we huyo kufuata ubwabwa.
Naona kama hii nchi imelaaniwa!Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.
Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.
Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.
Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!
Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?
Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!
View attachment 2794452
Nilishangaa kilichofanyika na sisi CCM tumeona ni sawa tu!Ikulu inafanya uhuni mkubwa hivi.
Huo mchele waliosimangiwa ni kodi zetu.
Au upande wa pili huwa ni lazima wacheze ngoma kabla ya kula?
Hiyo ikulu hivi haina mwenyewe wa kuona waalikwa wako kwenye staha ?
Mialiko mingine achaneni nayo, Hii ni fedheha.
Walifanywa kama Yuda kwenye ile karamu ya Bwana. Aliitwa msaliti, hao watumishi wa Bwana waliitwa wasaliti na Mpoto kwa maagizo.
Sasa ni kipindi cha kufunga na kuomba tuone huyo msanii asovaa viatu ana nguvu gani.
Nchi inauzwa kijanja kijanja, namlaumu mwendazake haya yote alisababisha yeye.Nilishangaa kilichofanyika na hao CCM wameona ni sawa tu!
Hii nchi imeshagawanyika kidini, kiukabila nk na hata sisi CCM tumeshagawanyika.
Wangefanya ccm, yani kwenye chama, wala tusingeshangaa; lakini imefanya IKULU! Hicho ndicho mimi kinanishangaza na kuugusa moyo wangu. Yani Ikulu kabisa? Rais na Amiri Jeshi Mkuu anahusishwa kwenye mialiko ya kihuni!? Tena wanaoalikwa na Watumishi wa Mungu: Watiwa Mafuta wa Bwana!!Nilishangaa kilichofanyika na sisi CCM tumeona ni sawa tu!
Hii nchi imeshagawanyika kidini, kiukabila nk na hata sisi CCM tumeshagawanyika.
Kwani dini yenyewe sio siasa? Unatambua siasa ni nini hasa? Usiimbishwe kama kasuku!Itamfaiidia nini Sasa kuupata ulimwengu wote huku akiicha nafsi yake iangamie na moto wa milele. Dini na siasa wapi na wapi. Hata yesu alisema huwezi kuwatumikia mabwana wawili
Amina 🙏🙏🙏........
Hakika Mungu Aishie hataliacha hili lipite bila kuwakingia kifua watumishi wake.
Mkuu Nguruvi3 hapa umeonyesha ukongwe wako ndani ya JF. Hii ndio mijadala asilia ya Jamiiforums ilivyokuwa awali kabla haijapoteza mvuto kabla ya kuvamiwa na "wahuni" na kuwafanya wenye hekima mkae pembeni.Haikuwa coincidence kwasababu katika kutawala na siasa kila linalofanywa linaweza kuwa na 'connotation' katika public court of opinion.
Ni hatari sana kama vyombo vya dola havijui implication ya kufanya mambo hovyo.
Sidhani ni hovyo! ni makusudi ili kufunika mjadala wa Bandari ambao ukiuangalia una uovu. Mikataba iliyosainiwa siyo kinacholalamikiwa na kilichopelekwa Bungeni.
Hivi DAB alitumika kufunika uovu , watu wawe na lesser of two evils, DP vs DAB
Waandishi wa habari wanaitwa wakati wowote na hawahitaji kujua nini kinatokea, ni nature ya kazi yao.
Wageni kama akina Kitima walioitwa kwa kadi na si wito binafsi wanapaswa kujua wanaitiwa nini.
Kwavile suala zima lilikuwa ni uovu, wakatumiwa mwaliko tu kwa kisingizo watapata habari wakifika.
Well, Mrisho Mpoto kawapa taarifa rasmi hii hapa
''Wameacha kazi ya kuchunga kondoo wapo katika siasa na wapo hapa kubugia Pilau'' .
Ukimwita mtu Ikulu unatarajia nini? Hakuna cha security, kilichofanyaika ni kuficha uovu.
Kilichojadilia si kile kilichokwenda Bungeni, wanajua hilo na wanajua hawawezi kuvunja ule mkataba wa awali.
Wameamua kuuza au kugawa Bandari za Tanganyika , tena walikuwepo wote !
Yes walikuwepo wote kwasababu suala la Bandari Wazanzibar wamesema si la Muungano sasa ilikuwaje:
Rais Mwinyi alikuwepo
Spika wa Baraza la Wawakilishi
Mtu mwenye busara hauzi uhai au heshima yake bila tafakuri na Busara. Mungu ni mkuu lakini watu bado wana mhalifu seuse mwanadamu mwenye nyama! Yuko wapi aliyedhani anamiliki Tanzania na ana kila nguvu!
Of course usipotumia busara yanakukuta ya Father Kitima wa TEC kuadhiriwa mbele ya kadamnasi.
Mpoto kasema , sasa kama ni yake au alitumwa hayo yametokea IKulu na ikulu lazima iwe responsible
JokaKuu
Watu wenye akili hapa JF ni wawili tu, Nguruvi3 na KitimotoHaikuwa coincidence kwasababu katika kutawala na siasa kila linalofanywa linaweza kuwa na 'connotation' katika public court of opinion.
Ni hatari sana kama vyombo vya dola havijui implication ya kufanya mambo hovyo.
Sidhani ni hovyo! ni makusudi ili kufunika mjadala wa Bandari ambao ukiuangalia una uovu. Mikataba iliyosainiwa siyo kinacholalamikiwa na kilichopelekwa Bungeni.
Hivi DAB alitumika kufunika uovu , watu wawe na lesser of two evils, DP vs DAB
Waandishi wa habari wanaitwa wakati wowote na hawahitaji kujua nini kinatokea, ni nature ya kazi yao.
Wageni kama akina Kitima walioitwa kwa kadi na si wito binafsi wanapaswa kujua wanaitiwa nini.
Kwavile suala zima lilikuwa ni uovu, wakatumiwa mwaliko tu kwa kisingizo watapata habari wakifika.
Well, Mrisho Mpoto kawapa taarifa rasmi hii hapa
''Wameacha kazi ya kuchunga kondoo wapo katika siasa na wapo hapa kubugia Pilau'' .
Ukimwita mtu Ikulu unatarajia nini? Hakuna cha security, kilichofanyaika ni kuficha uovu.
Kilichojadilia si kile kilichokwenda Bungeni, wanajua hilo na wanajua hawawezi kuvunja ule mkataba wa awali.
Wameamua kuuza au kugawa Bandari za Tanganyika , tena walikuwepo wote !
Yes walikuwepo wote kwasababu suala la Bandari Wazanzibar wamesema si la Muungano sasa ilikuwaje:
Rais Mwinyi alikuwepo
Spika wa Baraza la Wawakilishi
Mtu mwenye busara hauzi uhai au heshima yake bila tafakuri na Busara. Mungu ni mkuu lakini watu bado wana mhalifu seuse mwanadamu mwenye nyama! Yuko wapi aliyedhani anamiliki Tanzania na ana kila nguvu!
Of course usipotumia busara yanakukuta ya Father Kitima wa TEC kuadhiriwa mbele ya kadamnasi.
Mpoto kasema , sasa kama ni yake au alitumwa hayo yametokea IKulu na ikulu lazima iwe responsible
JokaKuu
Kwa hiyo yaliyotokea ni sehemu ya hafla maalumu?Wameshaambiwa ni hafla maalum inatosha kama mlitaka kujua zaidi mngepiga simu kuulizia. Kualikwa ikulu ni heshima kubwa na siyo kila mtu anaweza tu kujiendea.
NdioKwa hiyo yaliyotokea ni sehemu ya hafla maalumu?
Hakuna uhuni,je angeomba udhuru angekataliwa???Mfano,naumwa.
Mbio mbio akaenda,akajua kaheshimiwaaa.jamani,hivi hata kusema naumwa nashindwa ili asifike.makubwaaaWanazuoni kama plato na galileo walikuwa tayari kufa kulinda heshima zao, sasa huyu alivyosikia state invitation havaa kanvu harakaharaka hatakama angekuta kuna harusi angefungisha ndoa
Mkuu tatizo sio mwaliko, tatizo ni kejeli ya mrisho mpoto,Walimuita kijanja ili wamtumie yule zumbukuku kumzodoa yeye na wapingaji wengine wa vipengele vya mkataba