Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko vizuri sana sijaona kasoroMungu ampe maarifa Rais wetu na ajifunze kuwa msikivu. Ila ana jicho huyu Mama 😋
Chief, hayo makelele hayafiki ata mwezi....nakuhakikishia baada ya ijumaa hii kumzika, na zile sku za maombolezo kuisha basi habar za jiwe ndo hivo tenaMagufuli ndio basi tena. Haya makelele ya shujaa hayatadumu hata nusu mwaka. Anasauhulika kama wanampenda sana wangemuacha aendelee kutawala kama malaika.
Tutajie hiyo misingiKila lakheri Rais Samia Suluhu ,ninakupenda ,nina imani kubwa na misingi yako tutakuwa na Tanzania Bora.
View attachment 1732650
Bado maiti inakuhenyesha, na badoMagufuli ndio basi tena. Haya makelele ya shujaa hayatadumu hata nusu mwaka. Anasauhulika kama wanampenda sana wangemuacha aendelee kutawala kama malaika.
Sio mbaya picha kuimezea mate au wew ulitaka kwenye picha afanane Bi kidude.Picha nzuri ni ile kila mtu akiona anaitamani na kuipenda muda woteWatengeneze nyengine haraka atoe hiyo rangi ya mdomo.Watakaomuona wasianze kummezea mate badala ya kumheshimu
Hasa wale chotara na covid- 19Maisha yanaenda kasi sana!! Mataga hawaamini kilichotokea.
Ndo unitukane sasa.Basi leta yakwako basi ,wenzako wameleta picha official kwa matumizi ya kiofisi,wewe unaleta ujuaji wa kijinga. Mmezoea kupinga kila kitu tu, na hamna lolote mnalolijua.
Barakoa si chochote....Avae barakoa, Mungu hawezi kutunza mtu aliyempa maarifa na nyenzo na hazitumii.
Kwa kweli uzalendo kushneh si kwa jicho kungu la Madame President 😋[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uzalendo umekushinda mkuu
Kutokana na mambo ya mfumo dume uliokithiri inawezekana Madame President akaongoza kipindi kimoja pia.
Huyu nae ni makamu wa Rais?View attachment 1732530
Picha rasmi ya Hayati bi. Kidude
Mambo ya mtekemteke na kuvutia! Weka picha ya mchepuko ndugu yangu [emoji16][emoji16]Kweli aisee. Hata mimi nimeipenda hii.
Hii ametokelezea pia anaonekana mtekemteke na anavutia. Ofsini kwangu nitaiweka hii.
Hiyo ya Ikulu inamuonekano wa kiukongwe sana.
Unajua maana ya kutukanwa? Ujinga sio tusi, kama ukikubali kuelekezwa utabadilika.Ndo unitukane sasa.
Nitakusema kwa moderator
Ndo unifokee kiasi hichoUnajua maana ya kutukanwa? Ujinga sio tusi, kama ukikubali kuelekezwa utabadilika.