Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Bodyguard ni mtu wa huko rufijiNdo atamuweka yule bodyguard wake au.. maana sikuhizi simuelewi yule bodyguard wake ni kama vile kuna kanafasi hivi atakapata na inaelekea mkuru anamuelewa sana yule bodyguard wake..
Acha kuposha uma jeneza la mkapa lilibebwa na Generals hasa Brigedia Generals hukuona vile vidude vyekundu kwenye Kola?
Huyo alieulizwa vyoo nimkuu wa wilaya ya Kibiti anaitwa GULAM HUSSEIN SHABAN KIFU, alietenguliwa ni JUMA NJWAYO mkuu wa wilaya ya rufiji jamaa kaambatanisha video kupiga propaganda , video haiendani na utenguzi.Tabia za kutoa watu "kafara" ili kutafuta kiki za kisiasa siyo nzuri.
Mkuu wa nchi kukagua vyoo sokoni is too low, hata kwa waziri wa TAMISEMI bado ndogo kwake
Magufuli anataka kutafuta kura kupitia kiki za kujifanya muwajibishaji
Ni kitu kibaya sana hicho!
Nanyumbu FCSamahani Mkuu, hivi upo Kikosi gani sikuhizi
Mkuu nilichoandika nakijua na najua yupi ni bodyguard na nani sio bodyguard.. sizungumzii yule anaevaaga nguo za jeshi bali yule anaevalia suti au kaunda suti.. naomba niishie hapoYule sio Bodyguard ni ADC na ADC wa Rais kwa cheo chake ni Kanali sio huyo Lt Kanali
Ndio maana hata Jeneza la Mzee Mkapa limebebwa na Makanali na uzee wao imebidi tu wabebe wakati kuna vijana wanawashikia kofia pembeni na wanasindikizwa na maBrigedia Generali
Mkuu nilichoandika nakijua na najua yupi ni bodyguard na nani sio bodyguard.. sizungumzii yule anaevaaga nguo za jeshi bali yule anaevalia suti au kaunda suti.. naomba niishie hapo
Alafu unatumia Gari la 400mlnKiukweli Napenda style hii ya kuwajibisha watu. Yaani umateuliwa, unapewa gari V8, 4WD, dereva, mafuta, nyumba ya bure ila shida za wananchi huzitekelezi
Wanoko hatariIla watu wa Rufiji nimewanyooshea mikononkwa kuongea kaaah
Aisee waendelee kutumbuliwa mpaka akili ziwakae sawa. Ifikie hatua mtu akatae uteuzi Kama hawezi kaziAlafu unatumia Gari la 400mln
Choo huna
Ova
Pole mkuu mi nazungumzia yule jamaa mwenye sigda.. mpk hapo utakuwa ushampata achana na yule mwenye kakitambi..😅Ndo ana cheo cha Luteni Kanali?
Kweli ishia hapo hapo. Unless useme ulikua huongelei Press Release hiyo hapo
Sema JF nayo wanaunga kila Thread mpaka nyuzi zinakosa maana😡😡
Akakutane na mziki wa Wajumbe [emoji23][emoji23][emoji23]Bora angeenda kwenye kura za maoni tu
Pole mkuu mi nazungumzia yule jamaa mwenye sigda.. mpk hapo utakuwa ushampata achana na yule mwenye kakitambi..😅
Hivi unapewaje cheo na nguvu kazi wilayani bado unabaki kuuza maneno. Hapo Mkuranga ilipaswa na DC achangie 3m Cash inunuliwe madawatiAkakutane na mziki wa Wajumbe [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Watu wengi ni sadists, wanafarijika zaidi wakisikia mtu katumbuliwa kuliko wakisikia kilometa Mia tano zimejengwa kwa Rami.Pamoja na mapungufu yake mh Raisi John Joseph Pombe Maghufuli , nimekua ni shabiki mkubwa sana wa Maghufuli , nampenda vibaya mno kutoka moyoni kama nimemzaa