IKULU: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji

Ulisikiliza mwenyewe au umesoma sehemu? Aliyesikiliza kaelewa
 
Wivu unapata faida gani akitenguliwa,wananchi wana majungu sana
Hapana si majungu.
Kwa mtu mwenye akili ya kawaida ukisikiliza zile kero na utetezi wake unajua kuna shida kaika uongozi wa wilaya.
Yeye hana gari, gari za wagonjwa mbovu, maji hakuna na maelezo si mazuri.... the list goes on.
 
Itakuwa ni sababu ya yule mtoto wa shule ya msingi Somanga kuchoma utambi kuwa shule yao ni mbovu nini,huyu Mkuu wa Wilaya aliyetumbuliwa tulikuwa nae chuo kabla hajakuwa mbunge,maneno na porojo nyingi ingawa mwenzetu alitoboa mapema kutoka afisa ugani wa `kilimo ,akaenda uboharia, ubunge ,uDC
 
Aliyestahili kufukuzwa ni yule aliyeshindwa kuwajengea wananchi Choo. Huwezi kuendesha soko bila Choo... No wonder cholera haiishagi Bongo.
 
Dah Magufuli mkatili, kamwambie achape kazi. Akamtumbua.

Ila jamaa naye mweupe sana ingawa anajiamini.
 
Hiyo Wilaya magari yote mabovu, Mkuu wa Wilaya hana gari, Mkurugenzi Hana gari, DAs hana hana gari.

Sijui kosa la nani hapo.
Makosa ni yao. Wilaya inakuwa kama haina mapato. Huo ni uzembe wao
 
Nimefika utete yalipo makao makuu ya wilaya ya rufiji ..kwanza ofc za mkuu wa wilaya ni za kizamani na zimechoka kwelikweli , barabara zote za wilaya ni mbovu hatari ..gari ya mkurugenzi wa wilaya choka mbaya hivyo hvyo na mkuu wa wilaya pia..Rufiji iko hovyo hovyo kbsaa ..ukiingia kuanzia mwaseni kuja ndundunyimikanza hadi ngorongo uje mpk mkongo ni shida tupu ..yaani kiukweli ni wilaya masikini mnooo mnoo ...mkuu was wilaya Juma Njwayo ni mmakonde wa Tandaimba alinisumbua sana sana wkt nafanya shughuri za kichama kwenye hiyo wilaya acha apumzishwe tu japo sio vzr kufurahia matatizo ya mwenzio ...
 
Hiyo Wilaya magari yote mabovu, Mkuu wa Wilaya hana gari, Mkurugenzi Hana gari, DAs hana hana gari.

Sijui kosa la nani hapo.
Kwa sababu hao wote wapo UPINZANI tu, wangekuwa chama chetu wangepewa kitambo sanaaa
 
Upo sawa mkuu.Mtoa mada amechanganya taarifa.
 
Unakusanya 1.8Billion+pesa za miradi unashindwa kufanya maintenance ya magari?
1.8bn hiyohiyo itengeneze magari, hiyohiyo ijenge madarasa, hiyohiyo ijenge stendi, hiyohiyo ijenge vyoo vya shule na masoko, hiyohiyo ilipe posho za mwezi na za vikao za madiwani,hiyohiyo ijenge kiwanda...

Hela hiyo ni ndogo, sema ndio hivyo siku ya kufa nyani...
 
Acha kuposha uma jeneza la Mkapa lilibebwa na Generals hasa Brigedia Generals hukuona vile vidude vyekundu kwenye Kola?
Ulivyobisha kwa confidence kama unajua vile...kuanzia cheo cha kanali huanza kuvaa vijogoo na waliobeba walikuwa ni makanali ila Brigadier Generals walikuwa pembeni yao wakisindikiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…