Hivi unajua ulichokiandika? Au unajisikia fahari kuni quote tyuuuuuuh? Jiheshimu weee kiumbe msieeeeeeeeeewJiandae tu na wewe muda si mrefu utachaguliwa kuwa waziri wa magari mabovu na mipango ya ghafla. Wizara mpya hiyo
Ulisikiliza mwenyewe au umesoma sehemu? Aliyesikiliza kaelewaTabia za kutoa watu "kafara" ili kutafuta kiki za kisiasa siyo nzuri.
Mkuu wa nchi kukagua vyoo sokoni is too low, hata kwa waziri wa TAMISEMI bado ndogo kwake
Magufuli anataka kutafuta kura kupitia kiki za kujifanya muwajibishaji
Ni kitu kibaya sana hicho!
Hapana si majungu.Wivu unapata faida gani akitenguliwa,wananchi wana majungu sana
Hivi wahuni waliokuwa wanaongoza hii nchi ni akina nani? na wanatoka chama gani?This is my president Tunashukuru sana kwa kutatua matatatizo on the Sport. Nchi hii ilichezewa sana sana Na wahuni
Makosa ni yao. Wilaya inakuwa kama haina mapato. Huo ni uzembe waoHiyo Wilaya magari yote mabovu, Mkuu wa Wilaya hana gari, Mkurugenzi Hana gari, DAs hana hana gari.
Sijui kosa la nani hapo.
On the sport au on the spot?!This is my president Tunashukuru sana kwa kutatua matatatizo on the Sport. Nchi hii ilichezewa sana sana Na wahuni
Hao wahuni walikuwa wa chama gani? Chunga mdomo wako usije ukawakosea adabu wakubwa zako.This is my president Tunashukuru sana kwa kutatua matatatizo on the Sport. Nchi hii ilichezewa sana sana Na wahuni
Nimefika utete yalipo makao makuu ya wilaya ya rufiji ..kwanza ofc za mkuu wa wilaya ni za kizamani na zimechoka kwelikweli , barabara zote za wilaya ni mbovu hatari ..gari ya mkurugenzi wa wilaya choka mbaya hivyo hvyo na mkuu wa wilaya pia..Rufiji iko hovyo hovyo kbsaa ..ukiingia kuanzia mwaseni kuja ndundunyimikanza hadi ngorongo uje mpk mkongo ni shida tupu ..yaani kiukweli ni wilaya masikini mnooo mnoo ...mkuu was wilaya Juma Njwayo ni mmakonde wa Tandaimba alinisumbua sana sana wkt nafanya shughuri za kichama kwenye hiyo wilaya acha apumzishwe tu japo sio vzr kufurahia matatizo ya mwenzio ...Mngejua ilivyoshida kupata pesa za kumfanyia service msingekua mnasema......
Wakurugenzi wanatumia hadi pesa zao hii serikali ya kishetani ipo kwa ajili ya kukomoa watendaji wake.
We nani hataki gari itembee na kufanya shughuli zinazotakiwa kufanywa.....
Hii ni serikali ya kukomoana na ukiangalia ujio wa Lissu umempa sn presha sasa ukiunganisha ma mawe ya Kikwete jana Basi anajaribu kuhamisha mjadala lkn haiwezekani........
NI MIHASIRA TU YA HOVYO
Choo kitakuwepo!Ndio yule waliambiwa watu wakajisaidie kwake?Sasa kama hayupo itakuaje
Wahuni wa chama gani?This is my president Tunashukuru sana kwa kutatua matatatizo on the Sport. Nchi hii ilichezewa sana sana Na wahuni
Kwa sababu hao wote wapo UPINZANI tu, wangekuwa chama chetu wangepewa kitambo sanaaaHiyo Wilaya magari yote mabovu, Mkuu wa Wilaya hana gari, Mkurugenzi Hana gari, DAs hana hana gari.
Sijui kosa la nani hapo.
Upo sawa mkuu.Mtoa mada amechanganya taarifa.Mkuu hio video umeweka hapo ,mbona huyo nimkuu wa wilaya ya kibiti nasi Rufiji?. Au Rufiji ndio wilaya ya kibiti?. Na huyo mkuu wa wilaya ya kibiti anaonekana kwenye video anaitwa GULAM HUSSEIN SHABAN KIFU, alikua mbunge 2000/2005 jimbo la Kigoma kusini kupitia NCCR MAGEUZI hata diploma hana huyo jamaa.@Moderator JamiiForums wekeni taarifa sawa huyu jamaa anapotosha , video haiendani na utenguzi.
1.8bn hiyohiyo itengeneze magari, hiyohiyo ijenge madarasa, hiyohiyo ijenge stendi, hiyohiyo ijenge vyoo vya shule na masoko, hiyohiyo ilipe posho za mwezi na za vikao za madiwani,hiyohiyo ijenge kiwanda...Unakusanya 1.8Billion+pesa za miradi unashindwa kufanya maintenance ya magari?
Ulivyobisha kwa confidence kama unajua vile...kuanzia cheo cha kanali huanza kuvaa vijogoo na waliobeba walikuwa ni makanali ila Brigadier Generals walikuwa pembeni yao wakisindikizaAcha kuposha uma jeneza la Mkapa lilibebwa na Generals hasa Brigedia Generals hukuona vile vidude vyekundu kwenye Kola?
Eee maaskari wanajaa Udc na U RCUjinga wake. Choo cha soko mpaka mhe rais akisemee? Sio sawa.
Usichukulie serious sana huo ni utani tu si unacheki hata comment yenyewe.Hivi unajua ulichokiandika? Au unajisikia fahari kuni quote tyuuuuuuh? Jiheshimu weee kiumbe msieeeeeeeeeew