IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

Maombi ya Gwajima pekee ndio yamefika.

Kwanza amesali kwa jina la Yesu wakati wengine wamepitia wazazi wa Yesu na wengine sujui waarabu gani huko
Unaumwa ndezi wewe. Kwani huyo Yesu ni MWAFRIKA WA CHATTLE?
 
Dar es salaam: Viongozi 13 wa dini jana walisimama na kuuombea mradi wa umeme utakaozalishwa Mto Rufiji katika bonde la Stiegler ili upate mafanikio.Maombi hayo ya viongozi wa dini na madhehebu tofauti yalifanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kutia saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi huo utakaokuwa ukizalisha megawati 2,115 za umeme utakapokamilikaView attachment 967459
Yaani ukitaka kujiona maombi yako hayakubaliwi iombee Tanzania usishangae mradi huo ukwa janga LA Taifa kama WA Gesi na madini baadae
 
KWAKO RAIS DR.JOHN POMBE MAGUFULI,
POLE NA MAJUKUMU,Komaa kwa hali yoyote ile,huu mradi mkombozi wetu ukamilike,utakutana na changamoto za kufa mtu,komaa tuu,natamani kila siku niwe nakukumbusha ili uwapange vema Timu yako,bu hooks and kooks kwenye huu mradi watu ambao wanataka ushindwe wanatamani mradi ukwame kwa namna yeyote ile,kitu kikionekana "live" utakuwa umeweka alama kubwa Tanzania na vizazi vijavyo.Umeshauanza usiishie njiani kwa vyovyote vile,wewe umekuwa mwana UJENZI Mzuri sana wa MIUNDOMBINU BARABARA,SASA NI ZAMU YA STIEGLIERS KUFUFUA UMEME,NGUVU ZOTE ZIPELEKE HUKO MKUU.
 
KWAKO RAIS DR.JOHN POMBE MAGUFULI,
POLE NA MAJUKUMU,Komaa kwa hali yoyote ile,huu mradi mkombozi wetu ukamilike,utakutana na changamoto za kufa mtu,komaa tuu,natamani kila siku niwe nakukumbusha ili uwapange vema Timu yako,bu hooks and kooks kwenye huu mradi watu ambao wanataka ushindwe wanatamani mradi ukwame kwa namna yeyote ile,kitu kikionekana "live" utakuwa umeweka alama kubwa Tanzania na vizazi vijavyo.Umeshauanza usiishie njiani kwa vyovyote vile,wewe umekuwa mwana UJENZI Mzuri sana wa MIUNDOMBINU BARABARA,SASA NI ZAMU YA STIEGLIERS KUFUFUA UMEME,NGUVU ZOTE ZIPELEKE HUKO MKUU.
Environmental Impact Assessment Report (EIAR) inasemaje hapo kuhusu hiyo project? Tuanzie hapo kwanza tuache ushabiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWAKO RAIS DR.JOHN POMBE MAGUFULI,
POLE NA MAJUKUMU,Komaa kwa hali yoyote ile,huu mradi mkombozi wetu ukamilike,utakutana na changamoto za kufa mtu,komaa tuu,natamani kila siku niwe nakukumbusha ili uwapange vema Timu yako,bu hooks and kooks kwenye huu mradi watu ambao wanataka ushindwe wanatamani mradi ukwame kwa namna yeyote ile,kitu kikionekana "live" utakuwa umeweka alama kubwa Tanzania na vizazi vijavyo.Umeshauanza usiishie njiani kwa vyovyote vile,wewe umekuwa mwana UJENZI Mzuri sana wa MIUNDOMBINU BARABARA,SASA NI ZAMU YA STIEGLIERS KUFUFUA UMEME,NGUVU ZOTE ZIPELEKE HUKO MKUU.
Hebu nisaidie ule mradi maarufu wa umeme wa gesi uliishia wapi ?!. Na nani kauua ?!. Ukishajibu hilo ndiyo ndiyo tamaa yako ufanyie kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu nisaidie ule mradi maarufu wa umeme wa gesi uliishia wapi ?!. Na nani kauua ?!. Ukishajibu hilo ndiyo ndiyo tamaa yako ufanyie kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na mambo ya Gesi Mkuu,kwanini uhangaike na vitu ambavyo ni bei ghali kwa wananchi? Hiyo Gesi itatumika Dangota na viwanda vidogo vigodo mkuranga ,lindi,Mtwara na itakuwa standby mitambo ya gesi pale kinyerezi.
na hiyo gesi ikiisha? Gesi huisha mkuu,pressure hupungua visimani. Nchi zoote zilizoendelea zina Hydro tayari,au zilianza na hydro power na hakuna aliewazuia,wengine hawapendi mradi huu kwa maslahi yao,kila mtu na maslahi yake,kwa hiyo tukubaliane kutokubaliana...yaani kila Mtu abaki na Upande wake Anaouamini.SERIKALI IBAKI NA UPANDE WAKE WAENDELEE UJENZI NA WEWE UBAKI NA UPANDE WAKO KUSIFIA GESI.GO RAIS Dr.JOHN POMBE MAGUFULI
 
Kakomaa na Korosho Sasa baada ya kuchina store kaamua kuzirudisha. Sasa amemtafuta kangomba wa Kenya Sasa kwa vile hawajui wakenya wacha wamwonyeshe action maana hata amini macho yake. Hakuna mfanya biashara anayetoa hela yake ki ndezi ndezi akiitoa inakuwa Kama chambo maana unaweka ndoano kwenye maji ili uvue Papa wakati ndoano ni ndogo Kama mwiba lakini inanasa papa. Kama hajawahi kuuza pipi hawezi nielewa

Kakomaa na standard geji Mara tutajenga kwa hela za ndani huku Beno Ndullu akimuambia huwezi Jenga reli kwa hell za ndani na kwa kuwa yeye ni Jiwe Basi Tena reli imemchachia.

Kakomaa na uchumi unaokua kwa 6.1% wakati kwa ukweli uchumi unakua kwa asilimia 1. Sasa sijui atafanyaje alidhani akiwa Hitler Mambo yataenda mwisho yanamgeukia Mambo ndo Yana mu-Adolf Hitler

Kakomaa na ndege ndege Airbus Sasa imekuwa ni meat van Airbus

Kakomalia Viwanda viwanda Sasa hivi ukiongelea viwanda unaonekana no mhaini.

Kipindi Cha kampeni aliongelea swala la umeme kukatika katika ila Sasa mgao umerudi hapa nilipo umeme hakuna alafu twaambiwa ni Tanzania ya viwanda.

Amekomalia watumishi feki na vyeti hewa kamshindwa bashite kumtumbua

Kakomalia Makinikia akawaita na wale ma professorial rubish nashangaa baada ya kushindwa ikabidi awaite ata wale darasa la tatu wampe somo la madini baada ya kuharibu Mambo. Nilimshangaa alipokuwa anasema benki inunua madini wakati benki kazi yake ni kukopesha nikajua hapa hamna kitu alafu anajifanya mjanja kumbe ....

Amekomalia LGBT mwisho Waziri wake akamruka wazi wazi wakati yeye ni akili ndogo yaani unakunya chumba unacholala na hapo hapo bado Tena unataka upafanye sebule

Yaani Bora asiguse chochote maana kila anachogusa ndo jinsi anavyojivua nguo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWAKO RAIS DR.JOHN POMBE MAGUFULI,
POLE NA MAJUKUMU,Komaa kwa hali yoyote ile,huu mradi mkombozi wetu ukamilike,utakutana na changamoto za kufa mtu,komaa tuu,natamani kila siku niwe nakukumbusha ili uwapange vema Timu yako,bu hooks and kooks kwenye huu mradi watu ambao wanataka ushindwe wanatamani mradi ukwame kwa namna yeyote ile,kitu kikionekana "live" utakuwa umeweka alama kubwa Tanzania na vizazi vijavyo.Umeshauanza usiishie njiani kwa vyovyote vile,wewe umekuwa mwana UJENZI Mzuri sana wa MIUNDOMBINU BARABARA,SASA NI ZAMU YA STIEGLIERS KUFUFUA UMEME,NGUVU ZOTE ZIPELEKE HUKO MKUU.
utakwama tu kwani ccm hawa kushindwa hawajaanza leo.
 
Kakomaa na Korosho Sasa baada ya kuchina store kaamua kuzirudisha. Sasa amemtafuta kangomba wa Kenya Sasa kwa vile hawajui wakenya wacha wamwonyeshe action maana hata amini macho yake. Hakuna mfanya biashara anayetoa hela yake ki ndezi ndezi akiitoa inakuwa Kama chambo maana unaweka ndoano kwenye maji ili uvue Papa wakati ndoano ni ndogo Kama mwiba lakini inanasa papa. Kama hajawahi kuuza pipi hawezi nielewa

Kakomaa na standard geji Mara tutajenga kwa hela za ndani huku Beno Ndullu akimuambia huwezi Jenga reli kwa hell za ndani na kwa kuwa yeye ni Jiwe Basi Tena reli imemchachia.

Kakomaa na uchumi unaokua kwa 6.1% wakati kwa ukweli uchumi unakua kwa asilimia 1. Sasa sijui atafanyaje alidhani akiwa Hitler Mambo yataenda mwisho yanamgeukia Mambo ndo Yana mu-Adolf Hitler

Kakomaa na ndege ndege Airbus Sasa imekuwa ni meat van Airbus

Kakomalia Viwanda viwanda Sasa hivi ukiongelea viwanda unaonekana no mhaini.

Kipindi Cha kampeni aliongelea swala la umeme kukatika katika ila Sasa mgao umerudi hapa nilipo umeme hakuna alafu twaambiwa ni Tanzania ya viwanda.

Amekomalia watumishi feki na vyeti hewa kamshindwa bashite kumtumbua

Kakomalia Makinikia akawaita na wale ma professorial rubish nashangaa baada ya kushindwa ikabidi awaite ata wale darasa la tatu wampe somo la madini baada ya kuharibu Mambo. Nilimshangaa alipokuwa anasema benki inunua madini wakati benki kazi yake ni kukopesha nikajua hapa hamna kitu alafu anajifanya mjanja kumbe ....

Amekomalia LGBT mwisho Waziri wake akamruka wazi wazi wakati yeye ni akili ndogo yaani unakunya chumba unacholala na hapo hapo bado Tena unataka upafanye sebule

Yaani Bora asiguse chochote maana kila anachogusa ndo jinsi anavyojivua nguo

Sent using Jamii Forums mobile app
jamaaa ana mikosi ya kifanikiwa hakuna.linaloenda mbele.
 
KWAKO RAIS DR.JOHN POMBE MAGUFULI,
POLE NA MAJUKUMU,Komaa kwa hali yoyote ile,huu mradi mkombozi wetu ukamilike,utakutana na changamoto za kufa mtu,komaa tuu,natamani kila siku niwe nakukumbusha ili uwapange vema Timu yako,bu hooks and kooks kwenye huu mradi watu ambao wanataka ushindwe wanatamani mradi ukwame kwa namna yeyote ile,kitu kikionekana "live" utakuwa umeweka alama kubwa Tanzania na vizazi vijavyo.Umeshauanza usiishie njiani kwa vyovyote vile,wewe umekuwa mwana UJENZI Mzuri sana wa MIUNDOMBINU BARABARA,SASA NI ZAMU YA STIEGLIERS KUFUFUA UMEME,NGUVU ZOTE ZIPELEKE HUKO MKUU.


Unataka kina Lissu na Mbowe wajipige vidole sasa, shauri yako.
 
Back
Top Bottom