IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

Wewe ndye hujui maana ya stake. Huu mradi tulitakiwa tuwe na 100% stake. Sasa Egypt kuchukua 55% maana yake who is the majority owner? Hapa Egypt ndye anafanya maamuzi yote. Yan hapa ni sawa na kuuza. Yan umeiza asilimia 55 za mradi wako wewe umebakiza 45. Na miradi ming ya tz huanza hiz. Mwisho wa siku serkal unakuta imebakiza hata 20%.
Still hujui unachokiandika, stake 100% ya mradi ina milikiwa na mashirika ya kimisri 55% kwa 45% serikakali inatoa 15 advance kuonyesha commitment.
Mradi ukikamilika utakuwa unamilikiwa na serikali kwa 100% huku stake yote inaweza ikawa imelipwa au kukawa na deni kiasi.
Jiulize kwanini kuna wakandarasi wanaidai serikali japo wamemaliza miradi na sasa miradi hiyo inamilikiwa na serikali.
Nyerere bridge inamilikiwa na kuendeshwa na serikali lakini aliyestake ni PSPF na makusanyo yanayofanywa pale ni hili kuwalipa PSPF stake yao na wakimaliza kulipa stake pale darajani tozo zitapunguzwa kwa asilimia kubwa kama sio kufutwa
 
Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.

Miradi hii mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)

Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.

Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..

Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka/biashara nyingi zinafungwa.

Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.

Fungua hii link hapa chini uone ni wapi hii mikopo inakotupeleka kama Taifa.

Kamati ya Bunge ya Bajeti yahofia makusanyo yote ya serikali kutumika kuhudumia deni la Taifa, yataka kuwe na ukomo wa kukopa - JamiiForums

Serikali hii ina majukumu mengi zaidi ya
kujenga miundombinu na hazina yetu ni hiyo hiyo moja na ili tusonge mbele, ni lazima tutoe kipaumbele na kwa sekta nyingine maana zinategemeana.

Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua na pia ili tuweze kupata hela za kulipa haya madeni makubwa.


Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.

kwa hiyo nasemaje unataka nini?
 
Someni wenyewe, mtafsiri wenyewe, sitaki maswali

overnment, to build a dam and a hydropower plant on the Rufiji river on an EPC basis (engineering, procurement, and construction), as a part of the government’s plan to lower the energy shortages in east Africa’s third-biggest country.
The contract is worth $2.9bn and is financed through the direct funding of the Tanzanian government. The entire project will be executed under one integrated project management organisation with the responsibility of the joint venture, in which Elsewedy Electric holds 45%, and Arab Contractors holds 55%.
The power plant will start producing energy by April 2022, with project completion expected within 36 months after a six-month mobilisation period, and it will have an installed capacity of 2,115MW, that is expected to more than double Tanzania’s power generation capacity.
In 2017, the Tanzanian ministry of energy issued an international tender for the power plant, which is located approximately 200 km south west of Dar es Salaam, Tanzania’s commercial and administrative centre, where the signing ceremony was held on Wednesday.
Ahmed El Sewedy, CEO of Elsewedy Electric said, “The Tanzanian People can count on the Egyptian joint venture. This has been strongly committed by the Egyptian leadership, and it shall remain, as it has always been, the commitment of Elsewedy Electric in all its operations in its mother continent.” The statement came during the signing ceremony which was attended by Egypt’s Prime Minister Mostafa Madbouly, and the Tanzanian President John Magufuli, among many officials from both the Egyptian and Tanzanian governments.


Topics: Arab Contractors Elsewedy Electric power plant Tanzania
 
DuP7K-gU8AAOuGH.jpg
 
Kijana unajua maana ya stake?
Unajua vigezo vya kushinda zabuni?
Eti mradi umeuzwa, unatia huruma ujue!
Jaribu kuuliza maana ya stake ukishajua maana ya hilo neno utaelewa content nzima.
Kama hiyo kampuni imechukua mkopo wa kujenga hiyo dam, ni mali ya nani, wanarejesha vipi huu mkopo
 
Kama hiyo kampuni imechukua mkopo wa kujenga hiyo dam, ni mali ya nani, wanarejesha vipi huu mkopo
wanajenga kwa fedha yao huku wakiwa wanalipwa na serikali, kwanza wanapewa 15% advance halafu wanakuwa wanalipwa kwa kiasi kulingana na mkataba unavyosema.
Kwa mfano SGR inajengwa kwa 7 trillion lakini inaweza kukamilika na kukabidhiwa kwa serikali wakati serikali ikiwa haijamaliza kulipa hela zote lakini lazima mradi ukabidhiwe kwa serikali.
Mfano daraja la Nyerere aliyestake ni PSPF lakini leo daraja lipo mikononi mwa serikali huku PSPF wakiendelea kulipwa kulingana na mkataba.
Kuhusu SG yawezekana hizo kampuni mbili zimegawana stake ili kuepuka kulemewa kifedha kwa kampuni moja.
Hope umenielewa?
 
miaka 35 mingi,uliza uganda mpaka sasa mingapi maendeleo kwanza raisi kukaa madarakank sio ishu,ishu maendeleo yaliyokusudiwa uyu akitoka anakuja mwingine anakaa anaondoka kwaiyo ishu sio kukaa maana kiti cha uraisi ni cha milele ila watapokezana tu,tunasahau kwamba tulia uchaguzi unatumia pesa nyingi sana uku tunataka raisi akae mda mfupi tuacheni siasa tufanye maendeleo,kwangu ishu sio raisi kukaa isipokua akae kwa mujibu wa taratibu na sheria km sheria itabadilika tukiona umuhimu wa kutawala hata miaka 100 si kitu atawale tu,lakini raisi uyu anafanya maendeleo kwa yetu na vizazi vyetu na kwa ajili ya tz yenye uchumi imara basi atuna budi kumpa ushirikiano wa kutosha kuliko kufikili tunaitaji raisi mwingine nakwambieni akiondoka uyu uyo ajae atafanya tumkumbuke uyu,tunapoteza watu wazuri kwa fikra finyu
Siamini kama TZ kungalikuwa na watu kama nyinyi duuuh. Huu ni uzembe wa hali ya juu. Na itakavyoonekana wewe utakuwa mmoja wapo wa kuusaport huu ujinga wa raisi kukaa miaka mingi. Daa nchi inahitaji maombi
 
Dar es salaam: Viongozi 13 wa dini jana walisimama na kuuombea mradi wa umeme utakaozalishwa Mto Rufiji katika bonde la Stiegler ili upate mafanikio.Maombi hayo ya viongozi wa dini na madhehebu tofauti yalifanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kutia saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi huo utakaokuwa ukizalisha megawati 2,115 za umeme utakapokamilika
UMEMEPIC.jpg
 
Dar es salaam: Viongozi 13 wa dini jana walisimama na kuuombea mradi wa umeme utakaozalishwa Mto Rufiji katika bonde la Stiegler ili upate mafanikio.Maombi hayo ya viongozi wa dini na madhehebu tofauti yalifanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kutia saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi huo utakaokuwa ukizalisha megawati 2,115 za umeme utakapokamilikaView attachment 967459
Just be open and transparent utafanikiwa, prayers don't work for oppressors and unjust rulers......
 
Dar es salaam: Viongozi 13 wa dini jana walisimama na kuuombea mradi wa umeme utakaozalishwa Mto Rufiji katika bonde la Stiegler ili upate mafanikio.Maombi hayo ya viongozi wa dini na madhehebu tofauti yalifanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kutia saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi huo utakaokuwa ukizalisha megawati 2,115 za umeme utakapokamilikaView attachment 967459
Mufti Abubakar alikuwepo?
 
Du Baba Pengo ndani. Lakini maombi tu si hoja. Mwambieni amepewa Katiba. Aifuate ili aongoze kwa haki and above all, kwa BUSARA. Anaongoza watu sio 'mikia'
 
Maombi ya Gwajima pekee ndio yamefika.

Kwanza amesali kwa jina la Yesu wakati wengine wamepitia wazazi wa Yesu na wengine sujui waarabu gani huko
 
Back
Top Bottom