Hatuwezi kumtaja shetani wacha mawe yamtaje na mashetani wenzio kama weweZuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Unataka kusema kwakuwa mwangosi aliuwawa hivyo ni sawa kwa lisu kupigwa risasi?Wewe huna akili yupo wapi kina ulimbokwa,Yule muandishi aliyepigwa bomu na wengine wengi waliyoumia enzi za kikwete?wewe na wenzako ni waovu na hamfai na mnatakiwa kupigwa Vita
Mradi upi mfano? Twende kwa data! Kama hata kama lilikuwa wazo la JK alipenda kusema wazi bila kona kona! Machawa ndio wanaweza wasiseme ila sio JPM, yule yuko straight forward.Hata magufuli enzi za uhai wake alipokuwa akizindua miradi mbali mbali iliyoasisiwa na watangulizi wake alikuwa akitajwa kuwa ni yeye ndiye kaijenga. Kwahiyo tuache nongwa..Tumwache Samia achape KAZI na KAZI iendelee!
Magufuli atabaki kubwa aibu ya karne kwa taifa letu. Mwehu kuongoza nchi kwa miaka sita halisahaulika mileleZuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Wewe mwenye akili unge quote hiyo post niliyoongelea CDM kuliko kuweka post nyingine nikijibu mtu mwingine halafu uniwekee maneno yako.Hayo yote ni masuala ya CCM. Na hizo ni hoja kuu za Sukuma Gang na hazina tatizo. Zinaeleweka; zinakubalika.
Sasa unapoingiza hapa masuala ya CHADEMA tena superficially, unajionyesha kuwa mtu aliye confused au “anayehaha” - hajui anapambania nini na nani.
Wewe kwa kutumia ID yako fake? Umesahau kuna raisi alishawahi kwenda Malawi kuroga.Iwe mwisho kuwa na Mzazibari atayetawala huku Tanganyika.
Ni watu wenye chuki sana na ni washirikina mno.
📌📌Ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mama anamtaja vzr sana hapa
UDOM amejenga mamako we ngedere, kwanza Magufuli hakujenga hiyo ikulu alianzisha tu ujenzi. Halafu JK usimfananishe na yule mshamba wenu. Ikulu 2 za kazi gani km una akili. JK ana akili sana amejenga mtandao mkubwa wa barabara nchi hii, amekujengea chuo kikuuu kikubwa kabisa Afrika na Kati. Ujenzi ulianza Machi 2020 Magufuli alikufa Machi 2021. Huyo Magufuli wenu aliijengea kaburini? Hata mamako atamjengea nyumba endelea kumwazaKikwete aliacha jengo gani la serikali kuu Dodoma unalolijua wewe, zaidi ya mradi wake wa kitapeli akishirikiana na Rostam kuwajengea CCM jengo la mkutano at overprice.
Muwe na shukran watanzania hizo ndio laana zenyewe kutoka kwa mungu; halafu mnashangaa umaskini aushi na wala ampati viongozi wenye busara bali majizi tu kila siku.