Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
Tatizo lako huwa unapanic mpaka unataka kurusha ngumi kupitia kishkwambi chako [emoji2957][emoji2957]

Wewe usiye panic ,
Kunywa dawa ya panya ukalitaje wewe lile liuwaji huko kuzimu liliko
 
Shetani hajawahi kuwepo ni upofu wenu tu na kudanganywa na hao waliowaletea utapeli wa Yesu na Muhammad.

Mchukie MAGUFULI, lakini usitafute uhalali wa kufanya hivyo kwa kutaja jina la Yesu au Muhammad, hatuyaogopi.
Huliogopi, kwani lipo tena ? , Si limeshatokomea kuzimu 😜😜😜😜
 
Hivi ndio vizuri ili baadae atakapoanza kuzungumzwa wajulikane kuwa CCM ina mashetani ambao hawapendi kuona kuna mtu anawapigania watanzania.

Hivi ina make sense mtu ambaye amejenga kitu usimtambue?
 
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Koma.... Tena ukome kama ulivyokoma kunyonya.
 
Watanxania wanataka maji, watanzania wanataka barabara, watanzania wanataka umeme, watanzania wanataka huduma bora za afya.
Watanzania wala hawana shida ya kujua nani hajatajwa kwenye ujenzi wa Ikulu.

Haya si ndiyo yakikua maneno ya kipundi kike? Au tunakosea wajameni?
Sahihi
 
jpm yupo na ataendelea kuwepo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2628506View attachment 2628507
Mkuu tunashukuru sana kwa kumbukizi makini. Hata Hayati JPM asipotajwa na wao, basi mawe yataendelea kumtaja na kushuhudia kazi zake nzuri kwa Taifa hili. Binafsi mwanzoni nilimchukia sana kabla sijaelewa kile alikuwa anakifanya kwa ajili ya manufaa ya Taifa hili baadaye. Huenda wengine pia watakuja kumwelewa Hayati JPM baadaye na dhamira yake ya maendeleo kwa Taifa letu.
Daima tutaendelea kumkumbuka HayatiJPM kama "icon" ya viongozi wazalendo katika nchi yetu, licha ya nguvu kubwa inayotumika kum-"defame".
 
Kusema Samia amefanya hili au jpm kafanya lile ni hakili za kitoto hoja za kitoto,maada za kitoto

Kwani jpm hakutumia pesa zake za mfukoni kuanzisha hili au li le no,

viongozi woote tangu Uhuru fake wamekuwa wakisimamia Mari,na Kodi zetu kuanzisha miradi mbalimbali hapa Tanzania

Na Jambo lingine nikwamba Samia ni mtanzania na jpm ni mtanzania wote wanatumikia au wamewahi kutumikia cheo kimoja Cha u raisi

Hivyo basi Kama jpm alitenda mema ni jema Kwani alikuwa mtanzania na kama Samia amemalizia alicho anzisha jpm tumpongeze pia kwa kujua na kuitambua thamani ya miradi ya jpm

Kwahakili zako unaddhani ikuru hiyo imemaliziwa kwa mzimu wa jpm?

pesa za ujenzi zili tolewa kwa sahihi ya mzimu wa jpm?

Tuache kushabikia mambo ya siyo na maana tuache kuwa gawanya viongozi wetu niushabiki wa kijinga

Je! Samia ni mzungu?
Je! Jpm ni mchina?

Je! Hawa Wote hawa ni raia wa inchigani? USA,JAMAICA, BRAZIL AU TZ???

Nahata Kama tutaenda kwa mienendo hiyo basi tusememe wazo la ikuru hiyo kujengwa Lili anzishwa na baba wa taifa JK

likafanyiwa kazi na jpm lakini aliishia njiani baada ya umauti kumfika

kisha lika maliziwa na aliye kuwa makamu wake na baadae kuja kuwa raisi mh ssh

sio hili amefanya huyu au yule tunawa vunja mioyo viongozi wetu
Hata lile bwawa la nyelele linaitwa hivyo kwa sababu Wazo Lili zaliwa kwenye hakili ya nyelele

sasa je tumdharau jk kuanzisha mradi huo nakumsifia jpm kuwa ndiye aliye Jenga?

Au tumdharau jpm kwa kulianzisha kulijenga Kisha akaishia njiani na kumdharau Samia kwa kulimalizia.?

Kwakifupi viongozi wetu wote wamefanya kazi kubwa ya kusimamia Kodi zetu japo wanatupigia kisisiasa

Kama baba wakambo aliye uza gunia 300 za mahindi kwenye shamba la family kwa bei ya laki kila gunia

Kisha akatununulia yebo mpya na sale za shule zenye thamani ya 50000/=tsh kwa pamoja

Kisha tukamshukuru nakumpongeza kumbe kwa bashasha kumbe kuna hera nyingi kabaki nazo anaenda kulia Bata na maraya bar

Huku nyumba inavuja,umeme hakuna,maji hakuna,nyumba ya nyasi,

But any way
tunapaswa kuwapongeza wote kwa kazi kubwa mkuu👣👣
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Upo sahihi kbs ✔️ Pia wakumbushe ma hater wa JPM kua hata fungu la huo ujenz ni kutoka kweny fuko lake binafsi!! Ma hater wa JPM wanataka kupotosha!!
 
Mie ata sijui sukuma gang ni hakina nani; interest zangu ni kuona mlalahoi anapata nafuu katika maisha.

Muda wenyewe wa kuishi Tanzania wastani ni miaka 65, kuna watu toka wanazaliwa mpaka wanaaga dunia kunywa soda tu ilikuwa ni luxury katika uhai wao; now that is sad.

Wakati mijitu inagawa mali za nchi ovyo, inawakaba na mitozo watu maskini, kuiba hela zao zilitengwa kuwaletea maendeleo na kupewa viongozi wasio na maono.

Hiko ndio kinachokera yaani kula chips kuku tu mtu anapiga picha ya kuringishia. Walau Magufuli alikuwa na huruma na hawa watu na kujaribu alivyoweza kuwapa unafuu.
Hayo yote ni masuala ya CCM. Na hizo ni hoja kuu za Sukuma Gang na hazina tatizo. Zinaeleweka; zinakubalika.

Sasa unapoingiza hapa masuala ya CHADEMA tena superficially, unajionyesha kuwa mtu aliye confused au “anayehaha” - hajui anapambania nini na nani.
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Mkuu
Wala usihangaike na maadui ya hayati JPM ni hao hao aliokuwa nao mwenyewe akiwaamini lakini walikuwa wakimng'ong'a kwa kejeli leo wanataaka kutembelea nyota yake bila kutaja kazi zake hii inaitwa kitaaluma plagiarism kwa kutotoa credit kutoka kwa uanzilishi wa kazi hiyo hivyo hawatofautiani na wizi wa kitaaluma.
Hapo kwa vyovyote vile kuna mgogoro wa watawala wa sasa na mtangulizi wa huyu aliyekalia kiti

USHAHIDI HUU HAPA CHINI katika mlolongo wa matukio sahihi

1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.https://www.youtube.com/watch?v=UTYOPklZ98Q&pp=ygUoTWFndWZ1bGkgQWtpa2FndWEgVWplbnppIHdhIElrdWx1IERvZG9tYQ%3D%3D
11.
12.

*JPM is the best decision-maker and executive president ever in history whilst SSH is the best project supplementary president to paint a colorful wall.
 
Samia anastahili kupongezwa kwa sababu alilazimika kuvivaa viatu vikubwa sana vya mwingine (maono, uthubutu, maamuzi magumu, miradi mizito, n.k) na kwa kila anachokikamilisha sisi wengine tunaona ni ushindi kwa Tanzania.
 
Inashangaza sana kutokutambua mchango wa magufuli kuhusu ikulu ya chamwino.hata hivyo,ni chizi pekee ambaye hawezi kuona mchango wa magufuli kuhusu ikulu ya chamwino
Kuna chizi nimekutana nae hapa amekataa pia anasema hata yeye anajua mchango wa magufuri kwenye ikulu ya chamwino so usiseme hajui.
 
Back
Top Bottom