SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sukuma Gang mbona mnahangaika sana na huyo marehemu wenu mwovu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama JPM amekamilisha miradi iliyoanzishwa na Kikwete, iweje miradi ya Samia iliyoanzishwa na Magufuli asitajwe wakati Kikwete katajwa na hajaanzisha huo mradi wa Ikulu? Uwe unatumia akili kwenye hija zako mkuu. Au imejaa ujii??Ndio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.
Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Haya majitu ni takataka kabisaSukuma Gang mnapata taabu sana. Hamjui mpambane na nani. Mpambane na CCM/Samia au Chadema.
Mnapigwa pote pote
Mchango wake tunaujua hata wakifunika funika. He is one of the best things to ever happen in Tanzanian history and Africa at large.Magufuli na mapungufu yake yote lakini kwenye mambo ya miradi ya ujenzi anastahiki kila sifa. Hakuna mpuuzi yeyote aliweza kufanikisha theluthi moja ya yale aliyofanya Magufuli kwa miaka 6.
Ila hata wasipomtaja uliwmengu wote unajua nini hasa alichofanya katika kutengeneza hii nchi.
Wewe ni takataka alafu muovu ni wewe hapoSukuma Gang mbona mnahangaika sana na huyo marehemu wenu mwovu?
2025 patakuwa na mgombea mpya chama Cha mambuzi.Ikiwezekana hata 2030 Rais atoke Zanzibar, kama ni bara atoke kwenye makabila yaliyo madogo.
Ikulu imejengwa kwa kodi zetu,tuondoleeni kelele.za huyo dhalim wenu
Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.
Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...
Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!
Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!
Nchi kupata au kutokupata hasara kunaingiliana vipi na hoja iliyopo hapa?Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?
Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Huna lolote unalolijua wewe,hatua zote za upatikanaji wa eneo la kutosha kuijenga hiyo ikulu umefanyika chini ya JPM, msingi wa ujenzi wa hiyo ikulu umeanza chini na JPM, JPM kaenda kaanza kuitumia hiyo Ikulu tangu ikiwa bado haijakamilika kamilika.Ndio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.
Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Wewe ni mavi kabisaWewe ni takataka alafu muovu ni wewe hapo
jpm yupo na ataendelea kuwepo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Mimi nilikuwa na shukran na Kikwete, uliza wakongwe wa JF ilikuwa patachimbika hapa ukimtukana J.K kila zama na kitabu chake.
Muda wake umeisha na yeye alikuwa na mazuri na mabaya yake fine ndio siasa za africa kutesa kwa zamu.
Umeshamaliza muda wako pumzika basi Msoga waache na wenzako waendeshe nchi wanavyojua wao, walete maendeleo wanavyojua wao.
Nilipoona sio muungwana na mtu mwenye tabia za narcissistic kila saa anataka atokee kwenye media ndipo nilipoanza kumuona wa ovyo; ndugu watu wakikupigia picha nyumba aliyo mnunulia binti yake Mwanaisha na mumewe Albert Marwa nje ya London ndio utajua huyo mtu ana mihela.
Waafrica wanaelewa ndio culture yetu watu wakipata madaraka, tosheka basi; ata Lowassa’s wanawashinda Regina Lowassa ubunge viti maalum aliwaambia CDM kuna mtu ana stahili hiyo nafasi kushinda mimi mpeni; yeye yupo sawa. Sio Kikwete’s baba mtu ana self grandiose syndrome kutwa kwenye media mimi hivi mimi vile, enzi zangu sijui ilikuwa hivi, ndio nikaamua kufanya abc kila siku tumechoka story zake; mama mtu tamaa ubunge wa nini Salma Kikwete.
Funny enough ni mzazi mzuri watoto zao wote wanajitegemea wenyewe, sasa nini tena anataka zaidi ya kuacha Tanzania iende yenyewe na vyombo vyake; yeye kwa no anadhani anajua what’s best for Tanzania hapo ndipo nilipoanza kumuona huyu mzee kumbe hana maana.
Magufuli sio jina tu kama langu na lako. Magufuli ni Maono, Ni inspiration, Ni Utayari, Uthubutu, Ujasiri, Utawala, ni Mfumo na ni Itikadi pia. Yaani ni Maisha Kamili.Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?
Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?