Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
Kwa hiyo siku hizi miradi ni majengo ya serikali tu?
Wafuasi wengi wa jiwe ni wapumbavu eti niwe na shukurani, huyo jiwe ndo anatakiwa kuwa na shukurani dhidi yangu kwa sababu aliweza kuishi maisha ya kifahari hapa duniani kwa kuwezeshwa na kodi yangu.

Kabla ya kutaka niwe na shukurani dhidi ya jiwe ww mbona hujawa na shukurani dhidi ya Kikwete kwa aliyo yafanya badala yake unamuita tapeli?
Au jiwe ndo anaye sitahili kusifiwa na wengine wanasitahili kukejeliwa?
Mimi nilikuwa na shukran na Kikwete, uliza wakongwe wa JF ilikuwa patachimbika hapa ukimtukana J.K, kila zama na kitabu chake.

Muda wake umeisha na yeye alikuwa na mazuri na mabaya yake fine ndio siasa za africa kutesa kwa zamu.

Umeshamaliza muda wako pumzika basi Msoga waache na wenzako waendeshe nchi wanavyojua wao, walete maendeleo wanavyojua wao.

Nilipoona sio muungwana na mtu mwenye tabia za narcissistic kila saa anataka atokee kwenye media ndipo nilipoanza kumuona wa ovyo. Ndugu watu wakikupigia picha nyumba aliyo mnunulia binti yake Mwanaisha na mumewe Albert Marwa nje ya London ndio utajua huyo mtu ana mihela.

Waafrica wanaelewa ndio culture yetu watu wakipata madaraka ndio maana usikii malalamiko, tosheka basi. Ata Lowassa’s wanawashinda Regina Lowassa ubunge viti maalum aliwaambia CDM kuna mtu ana stahili hiyo nafasi kushinda mimi mpeni; yeye yupo sawa. Sio Kikwete’s baba mtu ana self grandiose syndrome kutwa kwenye media mimi hivi mimi vile, enzi zangu sijui ilikuwa hivi, ndio nikaamua kufanya abc kila siku tumechoka story zake; mama mtu tamaa ubunge wa nini Salma Kikwete.

Funny enough ni mzazi mzuri watoto zao wote wanajitegemea wenyewe, sasa nini tena anataka zaidi ya kuacha Tanzania iende yenyewe na vyombo vyake; yeye kwake no anadhani anajua what’s best for Tanzania kushinda mwingine yeyote hapo ndipo nilipoanza kumuona huyu mzee kumbe hana maana.
 
Hii nchi in wajinga wengi Sana jaman

Kumtaja mtu katika andiko Hilo kutashusha Bei ya unga wa ugal?

Au kutaongeza nafas za ajira kwa vijana

Aliyesema watanzania wana uwezo mdogo wa kufikiri Wala hajakosea

Mnalumbana kutajana majina wakat Hal ya maisha inazid kuwa ngumu na mkikaa wenyewe mnalaumu serikal badala ya kuchukua hatua

ALIYEIROGA TANZANIA ALITUWEZA SANA
Muulize aliyeipandisha hiyo bei ya unga
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu.
Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja!
Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!
Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Basi wanawe waende wakadai urithi wa baba yao.
 
Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.

Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa Samia na CCM kwa ujumla.

Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea nini yeye pekee yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.

CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Sasa mbowe kaingiaje hapa?? Kiswahili chenyewe sasa
 
Hamna,alimchagua kwakua aliona ni mwanamke hana ushawishi wala nguvu kama wanawake wanavyodharaulika usukumani[emoji120]na ndio maana hakumshirikisha mambo mengi alipokuwa rais Hadi maza alitaka kujiuzulu[emoji1787]
Alitaka kujiuzuru baada ya kushtukiwa na Magufuli kwamba ndie anaevuj8sha siri za Ikulu kwa Msoga Gang na kigogo14
 
Adui wa taifa letu NO 1 ni huyu [emoji116]
Screenshot_20230520-112033_Google.jpg
 
Kama kipi kwa mfano?,taja tewnde sawa
Alisha wahi sema kuwa tangu kupata uhuru kwa nchi hii yeye ndo kakuta kwenye nchi hakuna chochote kilicho fanyika vilivyo fanyika yeye ndo aliye vifanya.

Alafu akasema akiondoka hakuna mtu mwenye uwezo wa kufanya anayo yafanya yeye.
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Inauma sana sana kwakweli
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Bi Zuhura Yunus anatamani kufuta video zote za Magufuli kwenye mitandao. Sisi Chawa tunapingana na ujambazi wa habari
 
Back
Top Bottom