Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe liongo. Mimi chawa wa Mama ila ukweli hapakuwa na Bajeti ya Ikuku na wala ratiba ya kuhamia ikulu. Dkt Magufuli alithubutuNdio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.
Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Kama kipi kwa mfano?,taja tewnde sawaYeye Magufuri mbona alikuwa ana potosha kwa kusema eti watangulizi wake hawakufanya chochote vyote vilivyoko ndani ya nchi hii yeye ndo aliye vifanya?
Wewe una lako jambo moyoni maana kutumbuliwa sio kazi ndogo eti.Kwa pesa yake au kodi za wananchi? Mnakera mnoo.
Ndivyo wanavyojidanganya hao wajinga!Mtu ukimlaizia 5% ya project eti inakufsnya umzarau aliyeamua kuweka msingi mpaka ikafika 95%
Ndo unachowaza hamna kingine yaani, unawazidi hadi wanafamilia wa Hayati kwa kuomboleza aisee.Wewe una lako jambo moyoni maana kutumbuliwa sio kazi ndogo eti.
Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu.
Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.
Ndie alieamua kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja!
Huo ndio ukweli haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!
Saa 100 naona anaendelea kushupaza shingo kuna siku atatolewa ikulu na maandamano ya watu kukosa haiki na kuwakumbatia mafisadiSaiz wananchi hawadanganyiki, wanajua Kweli.
Utaona hata KARIAKOO, wafanyabiashara wamekwepa wanasiasa wakijua lao moja.
Makundi yote yanaelekea kuungana kupinga udhalimu.
Na hapo ndipo Katiba mpya itapatikana.
Hakuna njia magufuli atatajwa hadi na genge lao wakimbie.Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Nyerere aanapotajwa kila siku na kwenye uzinduZi huu anatajwa sana,anakuongeza kipato kiasi gani,Hii nchi in wajinga wengi Sana jaman
Kumtaja mtu katika andiko Hilo kutashusha Bei ya unga wa ugal?
Au kutaongeza nafas za ajira kwa vijana
Aliyesema watanzania wana uwezo mdogo wa kufikiri Wala hajakosea
Mnalumbana kutajana majina wakat Hal ya maisha inazid kuwa ngumu na mkikaa wenyewe mnalaumu serikal badala ya kuchukua hatua
ALIYEIROGA TANZANIA ALITUWEZA SANA
Watu wa pwani hasa zanzibar ni wavivu kupindukia hilo halina ubishiUkienda vijijini ukasema wewe ni mswahili Kutoka pwani, utaonekana mvivu, Mwizi, mjanja mjanja.
Unafiki ni sifa kuu ya waswahili,
Ni maadui wa KWELI, ingawa wapo pia viongozi mahiri Kutoka pwani Kwa uchache, mf Maalum Self, Salim Ahmad, Mzee Karume nk nk.
Ni kweli kabisa!
Siku ikijua kuwa rais tuliye naye alizaliwa "makunduuchi ndiyo utajua nini kinaendelea nchiniZuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Hamna,alimchagua kwakua aliona ni mwanamke hana ushawishi wala nguvu kama wanawake wanavyodharaulika usukumani🙏na ndio maana hakumshirikisha mambo mengi alipokuwa rais Hadi maza alitaka kujiuzulu🤣Magufuli alianza ujenzi na Samia akiwa makamu wake. Samia kamalizia ujenzi.
Nadhani ndio sababu kuu za Magufuli kumchangua Samia alimwona kama mtu anayefanana nae kimaono.
Hizi siasa za maji taka zinataka kuwaseparate.