Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
AiseeInashangaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeInashangaza
Lile liuwaji lilikuwa likiwaibia watu pesa bank kutaka kujenga Chato AirportInashangaza sana kutokutambua mchango wa magufuli kuhusu ikulu ya chamwino.hata hivyo,ni chizi pekee ambaye hawezi kuona mchango wa magufuli kuhusu ikulu ya chamwino
Samia hana hata udhubutu wa kumsimamisha kazi hata balozi wa nyumba 10 achilia mbali kujenga ikulu ni rais dhaifu mno kwa kweliWanadhani wanamfurahisha muajiri kumbe ndio wanamjengea chuki kwa wananchi na kuonyesha kwamba aliishi kinafki na marehemu ndio maana anaishi na wabara kinafki.
Mie ata sijui sukuma gang ni hakina nani; interest zangu ni kuona mlalahoi anapata nafuu katika maisha.Sukuma Gang mnapata taabu sana. Hamjui mpambane na nani. Mpambane na CCM/Samia au Chadema.
Mnapigwa pote pote
Anapewa maelekezo nini aseme !huyo dada naye anazingua,...
Wako kwenye mateso, wana wakati mgumu sana mana lile shetani halirudi tena nao hawaaminiSukuma Gang mnapata taabu sana. Hamjui mpambane na nani. Mpambane na CCM/Samia au Chadema.
Mnapigwa pote pote
Lissu amestuka, jukwaani huwezi mtukana Magu Raia wakakuelewa.Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.
Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa Samia na CCM kwa ujumla.
Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea nini yeye pekee yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.
CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Ana mlima mkubwa kweli wakupanda, sioni akieleweka maana yeye na wenzake wanaongea lugha tofauti. Chama ni msimamo sio kauli za mtu mmoja mmoja.Lissu amestuka, jukwaani huwezi mtukana Magu Raia wakakuelewa.
Mapungufu ya Magu walaumiwe CCM, hapo ndipo CDM inaweza win mioyo ya Watanzania wote.
Pia CDM iache urafiki na Mzee wa msoga, huyo ndo chanzo Cha Umaskini na mkwamo Kwa Watanzania.
Magu anabaki kuwa HERO na atatajwa miaka mingi ijayo,wapende au wasipende.
Lakn ndo Amiri Jeshi Mkuu ht ukimchukia vp, hutaki rudi kwenu BurundiSamia hana hata udhubutu wa kumsimamisha kazi hata balozi wa nyumba 10 achilia mbali kujenga ikulu ni rais dhaifu mno kwa kweli
Na hata mju wa serikali magufuli City watasema amejenga saa100Lakn ndo Amiri Jeshi Mkuu ht ukimchukia vp, hutaki rudi kwenu Burundi
Watanxania wanataka maji, watanzania wanataka barabara, watanzania wanataka umeme, watanzania wanataka huduma bora za afya.Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Saiz wananchi hawadanganyiki, wanajua Kweli.Ana mlima mkubwa kweli wakupanda, sioni akieleweka maana yeye na wenzake wanaongea lugha tofauti. Chama ni msimamo sio kauli za mtu mmoja mmoja.
Nilikwambia Historia Huwa inaandikwa na Washindi 😁😁Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Chawa wa mama kaziniHivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?
Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Inawezekana alipewa maagizo kuwa aandae hivyo. Itabidi waandishi ndio wafanye kazi nzuri ya kumwuliza kwa nini hakumtaja Magufuli.Kama amefanya hivyo kwakweli huyo dada atakuwa mnafiki kiwango cha lami aisee
ch nakoZuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
UDIKTETA sidhani, naamini viongozi hukwepa waandishi mahiri sababu hawana majibu, ni wepesi, wamejaa chenga.Ukiona rais anakwepa kuongea na waandishi wa habari ujue ni diktera. Connect dots
Tatizo lenyewe mafisadi ni vilaza they just don’t know that, ni mijitu mihuni inayoishi kwenye dunia yao.Saiz wananchi hawadanganyiki, wanajua Kweli.
Utaona hata KARIAKOO, wafanyabiashara wamekwepa wanasiasa wakijua lao moja.
Makundi yote yanaelekea kuungana kupinga udhalimu.
Na hapo ndipo Katiba mpya itapatikana.