Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma Gang mnapata taabu sana. Hamjui mpambane na nani. Mpambane na CCM/Samia au Chadema.Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.
Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa Samia na CCM kwa ujumla.
Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea nini yeye pekee yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.
CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
kweli lakini Magufuli alionyesha nia ya dhati kutimiza ndoto iyo ya Mwalimu Nyerere ya Ikulu kujengwa Dodoma pamoja na kuhamishia shughuli za serikali huko.Mwalimu Nyerere,ndio mwanzilishi,na alishiriki mpaka kuchimba mitaro,kupeleka maji hapo,Chamwino,alikaa kwenye kambi hapo,karibia miezi mitatu,na hakuwa na ulinzi mkubwa .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyege hizoNdio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.
Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Na kwa nn asitajweHivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?
Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Kww hiyo mmelipizaNdio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.
Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Kuna nguvu kubwa sana inatumika kujaribu kumficha Late Magufuli but ukweli wanaujua wananchi waliokuwa wanateseka kabla hajaongoza nchi.
Hawa hata kama atafichwa vipi still wanaujua umuhimu wake,hatutegemei mtu kama zuhra au yeyote yule aliyeko kwenye circle ya serikali ya leo amtaje Magufuli kwa zuri maana siye anayemlipa.
NB;mimi siyo mwanasiasa ila naongea uhalisia ulivyo.
Wenye akili wanaelewa hili....ila kweli magufuli alikuwa sahihi kumzingua kikwete....angalia mambo anayoyafanya inashangaza sana.Uko sahihi maana hata kaikulu ka magogoni kalijengwa na wakoloni kama ngome yao.
Hakuna mtu mwingine amejenga ikulu zaidi ya Magu.