Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Kwani Nyerere, mwinyi kutajwa nchi imeingiza billion ngapi mbona mmejaa chuki na figisu dhidi ya Magufuli
 
Tatizo lenyewe mafisadi ni vilaza they don’t that, ni mijitu mihuni inayoishi kwenye dunia.

Ndio kama topic ya hii mada; unaweza kweli kuongelea Ikulu ya Chamwino bila ya kumtaja aliejenga wananchi wasiulize.

Wana tabia ya kujiongopea na kuishi kwenye uongo wao.
Ukienda vijijini ukasema wewe ni mswahili Kutoka pwani, utaonekana mvivu, Mwizi, mjanja mjanja.

Unafiki ni sifa kuu ya waswahili wengi,

Ni maadui wa KWELI, ingawa wapo pia viongozi mahiri Kutoka pwani Kwa uchache, mf Maalum Self, Salim Ahmad, Mzee Karume nk nk.
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Maandalixi hayo yalipangwa kumdiss Magufuli,air time kapewa Jakaya na Nyerere, kiukweli Magufuli anazamiahwa kwa kila namna
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Sasa Magufuli marehemu angehojiwa vp? Utumie akili wakati mwingine!
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Nimempuuza kuliko upuuzi wenyewe, Ikulu kajenga Magufuli, full stop​
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Nimekupa 👎sababu umeandika bila ushibitisho wa sauti wa kile ulichokiandika.
 
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Kinachopingwa ni upotoshaji, history inaandikwa
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!
 
Magufuli na mapungufu yake yote lakini kwenye mambo ya miradi ya ujenzi anastahiki kila sifa. Hakuna mpuuzi yeyote aliweza kufanikisha theluthi moja ya yale aliyofanya Magufuli kwa miaka 6.

Ila hata wasipomtaja uliwmengu wote unajua nini hasa alichofanya katika kutengeneza hii nchi.
 
Kikwete aliacha jengo gani la serikali kuu Dodoma unalolijua wewe, zaidi ya mradi wake wa kitapeli akishirikiana na Rostam kuwajengea CCM jengo la mkutano at overprice.

Muwe na shukran watanzania hizo ndio laana zenyewe kutoka kwa mungu; halafu mnashangaa umaskini aushi na wala ampati viongozi wenye busara bali majizi tu kila siku.
Kwa hiyo siku hizi miradi ni majengo ya serikali tu?
Wafuasi wengi wa jiwe ni wapumbavu eti niwe na shukurani, huyo jiwe ndo anatakiwa kuwa na shukurani dhidi yangu kwa sababu aliweza kuishi maisha ya kifahari hapa duniani kwa kuwezeshwa na kodi yangu.

Kabla ya kutaka niwe na shukurani dhidi ya jiwe ww mbona hujawa na shukurani dhidi ya Kikwete kwa aliyo yafanya badala yake unamuita tapeli?
Au jiwe ndo anaye sitahili kusifiwa na wengine wanasitahili kukejeliwa?
 
Hii nchi in wajinga wengi Sana jaman

Kumtaja mtu katika andiko Hilo kutashusha Bei ya unga wa ugal?

Au kutaongeza nafas za ajira kwa vijana

Aliyesema watanzania wana uwezo mdogo wa kufikiri Wala hajakosea

Mnalumbana kutajana majina wakat Hal ya maisha inazid kuwa ngumu na mkikaa wenyewe mnalaumu serikal badala ya kuchukua hatua

ALIYEIROGA TANZANIA ALITUWEZA SANA
 
Back
Top Bottom