Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
Kwani Nyerere, mwinyi kutajwa nchi imeingiza billion ngapi mbona mmejaa chuki na figisu dhidi ya MagufuliHivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?
Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?