Ujinga mtupu.
 
Jiwe ameondolewa kwenye orodha ya watu waliowahi kuwa marais wa nchi hii kwasabb aliinajisi nchi hii.
 
Viongozi wetu wanadhidi kupapalia chuki kwa Watanzania, chuki dhidi ya viongozi inazidi kuongezeka kwa Watanzania. Imani ya watanzania kwa serikali ya awamu hii ni kama kudeki kwenye bahari.

Tunajua JPM ndo alithubutu kujenga hio Ikulu ila hawakutaka kumtaja wamezunguka wee na hawajiamini kabisaaa. Watanzania sisi sio wajinga tunajua aliyethubutu kujenga ikulu na Serikali kuhamishiwa Dodoma,
 
Wewe ni mpumbavu pamoja na genge lako.
 
Mbona unaanzisha mada ndani ya mada?

Uzi huu unahusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino - Dodoma.

Swali ni Rais wa awamu pili ndo serikali yake imejenga Ikulu hiyo?

Cha ajabu wewe umeacha kujadili hoja iliyo mezani umeanza kuishambulia CHADEMA, Lissu na Mbowe..!

Kwani hao ndiyo wanazindua Ikulu??

You are off the topic!!
 
Hivi hilo jengo litawasaidia watanzania kupunguza nini kwenye ugumu wa maisha yao? Hivi hilo linazidi kasri ya ufalme la Uingereza? Mbona waingereza wengi hawalipendi? Yako mambo hayahitaji kupoteza muda kwa kubishana kusiko na msingi.
Kwani ikulu ya Dar es salaam ilikuwa na mapungufu gani? Nyerere alipofikiri makao makuu yawe Dodoma 1973, Teknolojia ya mawasiliano ilikuwa chini sana.Leo mnafanya mkutano ya kimataifa na kila mtu yuko kwake.
 
Basi wote kwa pamoja kila mmoja angepanda mti mmoja ili libaki kwa Jina lake
Kuanzia marais na wake zao pia
Hapo tutasema huo mti aliupanda fulani badala ya kuwapa masifa wao wa kujenga utafikiri walibeba zege
 
Ndio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.

Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Watu wamagufuli wanaunga alichokifanya yeye kwa kikwete ila wanapinga mama samia anachokifanya kwa magufuli.
Maana miradi mingi ilikuwa planned na mingine ikaanza kutekelezwa wakati JK, magufuli akaja kuimalizia halafu akachukua credit ila hizo credits hawataki ziende kwa mama samia kwa kumalizia mirqdi iliyopangwa na kuanzishwa wakati wa jpm
 
Sema Watanzania Siyo Wajinga Sasa Hivi
 
Hii imefikia wapi?

NDC hasara tzs bil. 11.9
Mkulazi hasara tzs bil.14.4
TRC- hasara tzs bil. 31.5
ATCL- hasara tzs bil. 35.2
NHIF- inajiendesha kwa hasara bil.189.7.

Kuna mtu kachukuliwa hatua hadi sasa? Au kazi za CAG ni ceremonial?


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…