DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Never!
Hawezi kuacha kumsikiliza JK
Kwahiyo CHEKIBOBU KIKWETE ndio mshauri wa MAUSHUNGI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Never!
Hawezi kuacha kumsikiliza JK
Unajaribu kupambana na watu waliokuzidi kwa kila kitu
Kama baba yako alivyoutesa ukoo wenu ndio maana sasa hivi wana amaniTwalichukia sana lile shetani lenu la Chato kwa jinsi likivyotutesa
Ujinga mtupu.Hauoni Ikulu imekamilika? Bwawa nalo walitudanganya kuwa lingeshakuwa limekamilika kumbe vitu kibao vilisimama mama Samia ndiyo ameenda kulikwamua.
SGR nayo kumbe ilikua imeshaanza kufa, mama Samia ndiyo ameiokoa.
Hela za Plea bargaining kumbe zilishatoroshewa China wakati hatujui, sisi tunaambiwa ndiyo hela zetu za ndani zinajenga nchi. Kumbe wameshazipiga, mama ndiyo anapambana azirudishe.
Bado uchaguzi wetu wa 2020 ulivyoharibiwa na kuivuruga nchi. Sasa hivi mama ndiyo anapambana kuwarudisha watanzania wawwze kukaa pamoja, otherwise nchi ilikua imeshapasuliwa kitambo.
Accounts za watu zikafungwa hovyo na pesa kuchukuliwa, mama ameweza kuwarudishia.
Makinikio yalizuiwa kwa mbwembwe, lakini aliyeyazuia akayaachia kimyakimya kigiza kilipoingia.
Watu wakaondolewa kazini kikatili na mafao yao kuzuiwa, mama sasa hivi yupo kutibu majeraha.
Hivi nyie hebu tuambiane hapa, tuwe wa kweli kabisa. Yule Kamaa alifanikisha kipi kwenye nchi hii?
Watu weweee toboooUjinga mtupu.
Jiwe ameondolewa kwenye orodha ya watu waliowahi kuwa marais wa nchi hii kwasabb aliinajisi nchi hii.Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
nimemuuliza huyu anayejiita Mayor Quimby aliyesema JK kuwa hakujenga kituVASCO DAGAMA
wivu utakusumbua sana, jicheki usijepata ugonjwa wa moyoCHEKIBOBU KIKWETE kanizidi mapesa ya wizi tu, labda na UCHAWI.
View attachment 1684594066964.pngSamia kakuta aslimia kama sikosei 87%.kamalizia sehemu ndogo sana lakini chawa wake wanamtaja yeye kama kaijenga toka mwanzo kumbe hamna lolote
Yani hawana aibu khaaaa.Zuhura Yunus ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya Ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete.
Hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza? Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Wewe ni mpumbavu pamoja na genge lako.Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?
Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Mbona unaanzisha mada ndani ya mada?Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.
Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.
Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.
CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Watu wamagufuli wanaunga alichokifanya yeye kwa kikwete ila wanapinga mama samia anachokifanya kwa magufuli.Ndio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.
Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Sema Watanzania Siyo Wajinga Sasa HiviZuhura Yunus ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya Ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete.
Hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza? Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Hii imefikia wapi?Viongozi wetu wanadhidi kupapalia chuki kwa Watanzania, chuki dhidi ya viongozi inazidi kuongezeka kwa Watanzania. Imani ya watanzania kwa serikali ya awamu hii ni kama kudeki kwenye bahari.
Tunajua JPM ndo alithubutu kujenga hio Ikulu ila hawakutaka kumtaja wamezunguka wee na hawajiamini kabisaaa. Watanzania sisi sio wajinga tunajua aliyethubutu kujenga ikulu na Serikali kuhamishiwa Dodoma,
Ni sawa na kutomtaja Morrison kwy mafanikio ya Yanga kisa eti hakwenda Afrika Kusini![emoji1787]Yani hawana aibu khaaaa.