Yani zuhura kaboa na simulizi yake anaonekana alikuwa anawahoji viongozi hap akiwa na mafua sijui yani kalikuwa kananiuzi😕
 
Niteseke na Shetani liko kuzimu??
Unayeteseka ni wewe unayeweweseka na kufikiri labda litarudi tena.
Kama unalipenda lile liuwaji kiukweli basi kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu ukalisifu liuwaji jizi

RIH. Shetani liuwaji
Lilikufila bila ndomu Nini naona una hasira siyo Bure itsbidi tukukague vizuri
 

..upepo upi wa magufuli unaouzungumzia?

..upepo wa siasa za chuki, ubaguzi, kubambikia kesi, kutekana, na kuuana?
 

..hata Magufuli alikuwa anatumia nguvu kubwa kufifisha kazi ya Kikwete.


..sasa watu wa Kikwete wamerudi sijui kwanini mnashangazwa na kinachotokea.
 
Lilikufila bila ndomu Nini naona una hasira siyo Bure itsbidi tukukague vizuri

Wa kukaguliwa ni wewe Unayeteseka na unayeweweseka na kufikiri labda litarudi tena.
Kama unalipenda lile liuwaji kiukweli basi kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu ukalisifu liuwaji jizi
RIH Magufuli
 
Wa kukaguliwa ni wewe Unayeteseka na unayeweweseka na kufikiri labda litarudi tena.
Kama unalipenda lile liuwaji kiukweli basi kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu ukalisifu liuwaji jizi
RIH Magufuli
Na Bado bwawa la Nyerere daraja la busisi sgr na mengine mengi yote ni magufuli utakubali TU ukishajifungua mimba ya chuki aliyokuachia magufuli
 
Na Bado bwawa la Nyerere daraja la busisi sgr na mengine mengi yote ni magufuli utakubali TU ukishajifungua mimba ya chuki aliyokuachia magufuli

Kwani lile jizi lilitoa pesa mifukoni mwake? Si likichukua Kodi, likinyakuwa pesa Za watu Benki, liliiba pesa Forex , likateka wafanya biashara likauwa wapinzani

By the way hayo madaraja na SGR na mabwawa hayawezi kununua jicho la ndugu yetu aliyepigwa risasi na kupoteza jicho , kwa kuzuia wizi wa kura katika jitihada Za kuliweka liuwaji madarakani kwa nguvu
RIH Magufuli
 
Hao uliowataja wamedhurumiwa na kuuwawa na kutekwa wamelisaidia Nini taifa tuanzie hapo!!!!
 
Hao uliowataja wamedhurumiwa na kuuwawa na kutekwa wamelisaidia Nini taifa tuanzie hapo!!!!
Kumbe akili Zenu ni Kama Za wafuasi wa Pastor Mackenzie, hivi ukitolewa jicho au kufanywa kilema au kuuawa utakuwa umelisaidia taifa??

Lile jizi kumbe likiwaibia mpaka akili zenu 😭😭😭😭
 
Kumbe akili Zenu ni Kama Za wafuasi wa Pastor Mackenzie, hivi ukitolewa jicho au kufanywa kilema au kuuawa utakuwa umelisaidia taifa??

Lile jizi kumbe likiwaibia mpaka akili zenu 😭😭😭😭
Sasa kama huna faida Kwa taifa kama wewe Kwa Nini tusikutoe samaki mmoja akioza tunamtoa na kutupa asije akafanya wote wakaoza Kwa hiyo hata wewe kama huna mchango ni kufyekelewa mbali hatutaki kuwa na watu wa hasara kama wewe na hao wenzake wote uliowataja
 
Na atakuja zaidi ya JPM naona JPM Bado sometimes alikuwa na ka huruma Fulani hivi mpaka mnyookee hatutaki nchi iwe na mashoga wavivu na mafisadi tutaelewana TU!!!!!!
 
Na kwa nini lisitolewe lile linalotowa wenzake wacha likaisome namba kuzimu
RIH jiwe
Kama unalipenda lile liuwaji kiukweli basi kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu ukalisifu 😜😜😜
 
Na atakuja zaidi ya JPM naona JPM Bado sometimes alikuwa na ka huruma Fulani hivi mpaka mnyookee hatutaki nchi iwe na mashoga wavivu na mafisadi tutaelewana TU!!!!!!
Unaweweseka , unajijibu mwenyewe
Au mzimu wa Magufuli unakutesa , Jizi lile liuwaji halirudi tena. Ile ni one way ticket.
 
Nadhani zawadi zilitakiwa kutoka kwa Dkt Kikwete pia. Narration yake ina make sense, mchango wake mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…