Na kwa nini lisitolewe lile linalotowa wenzake wacha likaisome namba kuzimu
RIH jiwe
Kama unalipenda lile liuwaji kiukweli basi kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu ukalisifu 😜😜😜
Kula ndimu upunguze kichefu chefu Cha mimba aliyokupa magufuli ukishajifungua naamini yatakwisha Kwa sababu una sifa zote za mjamzito ambaye anaweza akamchukia hadi mume wake ila akishajifungua anaendelea kumpenda nakuombea ujifungue salamaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Kama Ni vitu vidogo basi Si angetajwa?

Yann kuficha ukwl.
 
Iwe tunampenda au hatumpendi, serikali kuhamia Dodoma na Ikulu ya Chamwino ni moja kati ya matokeo ya maamuzi magumu ya John Pombe Magufuli.

Wote waliomtangulia walishindwa au waliogopa kuchukua hatua na kufanya maamuzi magumu, yeye aliweza na hakuna anayeweza kufuta hilo.

Hii mijadala ya ni nani anastahili sifa wala haina maana yoyote maana, kila mtu anajua ukweli.
 
Unaweweseka , unajijibu mwenyewe
Au mzimu wa Magufuli unakutesa , Jizi lile liuwaji halirudi tena. Ile ni one way ticket.
We ndo unaweweseka coz coz umejaza chuki na hupendi kulisikia hata jina lake na tutazifi kulitaja mpaka ufe mi na enjoy na miundombinu aliyoiachia na naitumis vilivyo haswa yaani kwangu magufuli hayupo kama yupo vile napeta TU nadhani miradi aliyoiacha unaiona na ukitaka kupunguza hasira kaibomoe la sivyo utazidi kuteseka sanaπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ubunge wa Magufuli wa kuuliwa watu sahauni.
Shetani liuwaji jizi la kura halirudi tena.
RIH Shetani liuwaji jizi la kura Magufuli
[emoji851][emoji851][emoji851] Hilooo, linataka ubunge wa dezo [emoji1787]
 
Indeed
 

Kama ulilipenda sana lile jizi kunywa dawa ya Panya ulifuate kuzimu

Lilifikiri halitokufa likiuwa wenzake , shenzi lile

Tunamshukuru Mungu kwa kuliondowa

Mtakufa siku si zenu mkilisubiri lifufuke lakini hata Gwajima mpenzi wake kashindwa kulifufuwa
 
Magufufuli hakupata kutoa hata senti moja , wajinga ndio waliwao. hizo ni kodi za wananchi ,

akili yako ni kama ya wafuasi wa Pastor mackenzie πŸ˜› πŸ˜›
 
[emoji851][emoji851][emoji851] Hilooo, linataka ubunge wa dezo [emoji1787]
Lililotaka uraisi na ubunge wa dezo ni lile liliwachagua wasukuma wenzake na kuuwa watu huku likipenyeza kura feki vituoni

Mungu ametupa nafuu kwa kuliondoa ijapokuwa eti likiweka batalioni nzima kumlinda πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Mwalimu Nyerere, ndio mwanzilishi,na alishiriki mpaka kuchimba mitaro, kupeleka maji hapo, Chamwino, alikaa kwenye kambi hapo karibia miezi mitatu, na hakuwa na ulinzi mkubwa .
Ukweli ni Nyarere; lakini aliyefanya maamuzii magumu ya kuhamia ni Magufuli, kipindi cha Mwinyi, Mkapa, Kikwete; kwa upande wangu hawakuwa na nia ya dhati ya kuhamia Dodoma- Kuna wizara zilijengwa Dar wakati wana mawazo ya kuhamia Dodoma ilikuwa sawa; mfano jengo la Wizara ya Utumisgi; Maliasili na Utalii, n.k Majengo hayao yalijengwa baada ya kuazimu kuhamia Dodoma, ndio maana naona hawakumaanisha.
 
Magufufuli hakupata kutoa hata senti moja , wajinga ndio waliwao. hizo ni kodi za wananchi ,

akili yako ni kama ya wafuasi wa Pastor mackenzie πŸ˜› πŸ˜›
Hizo Kodi zilizotolewa alizisimamia baba Ako au familia yenu kujenga miradi ya nchi au unajitoa ufahamu sababu ya mimba ya magufuli aliyokuachia
 
Hizo Kodi zilizotolewa alizisimamia baba Ako au familia yenu kujenga miradi ya nchi au unajitoa ufahamu sababu ya mimba ya magufuli aliyokuachia

Walizisimamia wale waliopeleka matrilioni Benki za China na wale waliopewa tenda na Magufuli kujenga uwanja wa ndege Chato πŸ˜› πŸ˜›
 
Walizisimamia wale waliopeleka matrilioni Benki za China na wale waliopewa tenda na Magufuli kujenga uwanja wa ndege Chato πŸ˜› πŸ˜›
Sasa nimegundua kumbe una akili timamu Kwa kuwajua majembe ya kazi hongera naona taratiibu unakaribia kujifungua tutaelewana TU
 
Sasa nimegundua kumbe una akili timamu Kwa kuwajua majembe ya kazi hongera naona taratiibu unakaribia kujifungua tutaelewana TU


Tutaelewana tu

Hii ndio hali ya Jizi mwendazake magufuli aliyotufanyia

 
Credit anatakiwa apate aliye toa wazo la Serikali kwenda Dodoma,mdogo wake Nyerere Joseph Nyerere na Magufuli aliyelitekeleza wazo kwa vitendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…