Naomba nikuulize maswali yafuatayo:-
1. Kuna hati ngapi za Muungano?
2. Kama hii ni halali je zile zilizowasilishwa hapo Mwanzo zikiwa na Saini za Nyerere na Msekwa tu na saini zenyewe feki ni nani alizipeleka kule?
3. Na Lengo la Mpelekaji wa hizo za awali lilikuwa nini?
4. Je msukumo huo wa kuionyesha hati hiyo na kuipeleka Bungeni umetokana na nini? (Jibu ni TUNDU LISSU)
Tambua kuwa kama hiki kilichoonyeshwa ni sahihi hapa ndipo CCM walipoingia CHOO CHA KIKE kwani waliyokuwa wakiyaficha katika hati hiyo yatabainika hadharani na ukweli utajulikana.