Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

anasemaje? wadau mliopo karibu na TV tujuzeni kinachoendelea...
 
Hati imepigwa solo tape ....Huu ni uhuni...Time frame yao ilikuwa siku mbili kwa maelezo ya Wassira....

Ila naona baada ya Mbowe kudai kama ipo itolewe wamekurupuka na kupiga masolotape na kuja kutuonesha...
 
Aina ya karatasi iliyotumika?
Kalamu ni speedo kwa mwandiko au zile za wino wa kibakuli?
Maana kila zama na mambo yake.
 
Bilashaka nii watakuwa wameitengeneza vizuri bila makosa yasiyovumilika
 
Anasema waandishi wapige picha vizuri na hii hati haijachakachuliwa kama leo ambavyo baadhi ya wajumbe walivyoshtuka baada ya kuambiwa kuwa hati ipo na italetwa bungeni, kila mtu aangalie sahihi ya mwalimu nyerere na karume, anawaita watu wawili waje wapewe nakala ya hati hiyo ili wawaonyeshe wananchi kesho kwenye vyombo vyao vya habari magazeti au tv, anawaonyesha mambo ya muungano na wanahabari wanayapiga picha na sasa anawaonyesha ukurasa wa mwisho wa hati hiyo.
 

Nimekumbuka suala la mikataba ya Wachina kuwekwa hadharani ndani ya siku saba lakini hadi leo haijaooneka
 
Kwa miaka 50 hyo hati kwenye wino wa sahihi ya nyerere ungekuwa umevia wino kwa aina ya hyo kalamu aliyotumia
 
Anasema waandishi wapige picha vizuri na hii hati haijachakachuliwa kama leo ambavyo baadhi ya wajumbe walivyoshtuka baada ya kuambiwa kuwa hati ipo na italetwa bungeni, kila mtu aangalie sahihi ya mwalimu nyerere na karume, anawaita watu wawili waje wapewe nakala ya hati hiyo ili wawaonyeshe wananchi kesho kwenye vyombo vyao vya habari magazeti au tv, anawaonyesha mambo ya muungano na wanahabari wanayapiga picha na sasa anawaonyesha ukurasa wa mwisho wa hati hiyo.

kama kuna yeyote anashaka kama hiyo hati c original?
 
Kibwana Dachi sasa anauliza swali..

"Kama hii hati siku ilikuwepo kwann mmeacha kutoa siku zote mmpaka imefikia hatua hii ndio mmeamua kuzitoa..??"
 
Hati feki toka Lumumba. Lissu kiboko yao haya magamba
 
Mlikuwa mnataka hati sasa mmeletewa mnaanza kulialia.

Mlitaka isipatikane ili mpate kura 2015 teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…