Yea, kuna mikataba ambayo lazima kuwe na nyaraka hata kama pande zote zinakubaliana kuwa mkataba ulisainiwa na ushahidi wa watu kusaini na yaliyomo mwenye hiyo hati yanajulikana.
Kwa mfano, mikataba mingi inayohusiana na transactions za ardhi must be put in writing, otherwise they will be void an unenforceable.
Suala linakuja kuwa ni lazima makubaliano ya nchi mbili zilizoungana yawekwe kwenye maandishi?
Lakini hata kama kweli hati ya muungano ipo, kwa nini inakuwa ya siri hivyo?
What is so "secret" kwenye hiyo hati ya muunguno kupelekea kufichwa hivyo?
Mimi nilifikiri nakala za hati ya Muungano zingekuwa kwenye kila maktaba ya vyuo vya elimu ya juu kama sehemu ya rejea kwa law students. Nchi ya ajabu kweli kweli hii.