Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

Mkuu Mwanakijiji usijidhalilishe kiasi hiki kati ya waliokuwepo wakati huo wamekana kuiona hiyo hati sasa na wewe unatuletea hadith za kusadikika eti Unalinganisha ndoa na suala la Huu muungano umetia aibu kuleta hoja mufilisi za CCM

Duh! Huyu mwanakijiji kumbe kachuja namna hii? I am shocked! Ukitokea mtafaruku kwenye ndoa ni lazima vyeti vya ndoa ni lazima. Kama ameoa mshaurini atunze vyeti vyake.
 
Hiyo no fax no. Imetumwa tarehe 14 April 2013imetokea wapi hiyo?kwa nini ikulu inachanganya watu? Si wanasema walikuw wameitunza ilikuwa mahali sasa hiyo kutumwa kwa fax ilikuwa wapi

Mkuu utawafanya maccm shell nayo zaidi ipande kwani BP tayari iko 380
 
Waandishi mliopewa nakala tuwekeeni nakala zinazosomeka tuone hayo makubaliano yalikuwa ni yepi.
 
I am neither here nor there, the more squabbling there is the more they validate my idea of zero government.

Having said that...

Hati ilithibitishwa na Baraza la Wawakilishi Zanzibar?
 
Tundu Lissu anahoja nzuri sana.Tatizo ni kusema kuwa HATI hiyo haipo...nahisi kuna namna ya utunzaji wa Vitu muhimu na kuna utaratibu wa kuvitoa...Siyo kila kitu kukiweka weka hovyo tu. Pili kama hiyo hati ni Original huoni kuwa Tundu Lissu na kundi lake watakuwa wameaibika? Kwa jinsi tulivyo mpa sifa leo halafu ije onekana tumetoa sifa kipumbavu aisee itaniuma sana.

Propaganda hii ya kijinga! Hapa ni kwa ma-GT!
 
Hapo blue, mhhhhhhh


D92A5133.jpg
 
Hii ni ipi? Bila shaka itakuwa ni ile ya kuchakachua yenye saini za kughushi!
Kama UN haipo, kama Zanzibar haipo na Bara ni ile ya kughushi. Ikulu wanataka kumdanganya nani????

This is too late for them. Tundu Lissu ana DATA ZOTE KUHUSU HATI YA MUUNGANO!Kama kuna ukweli wa hiyo HATI YA Muungano jana Wasingelizimia runinga Kamanda Lissu. Wapeleke upuuzi wao huko!!

it is too late to catch the plane at this juncture
 
Habari

Nina mashaka na hati hii iliyotolewa leo ikulu eti ni hati halali ya muungano.

KATIBU KIONGOZI OMBENI SEFUE amewaambia waandishi kuwa sasa itawekwa ktk makumbusho sehemu mbalimbali nchini.

Mbona mwanzo haikuwekwa?

MBONA awali hati iliyopelekwa bungeni ilikuwa na utata hasa ktk saini ya JKN?

JE IMEKWENDA KUCHAKACHULIWA BAADA YA AKINA TUNDU NA JUSSA KUCHACHAMAA?

TUJADILI.
 
Mkuu naunga mkono hoja yako kwa 100%... Kama kuishi na mwanamke kwa miaka 2 inatambulika kisheria kuwa ni ndoa halali iweje watu walioishi zaidi ya miaka 50 wamezaliana, wameendesha mambo yao pamoja, wamekabiliana na changamoto mbalimbali kwa umoja wao IWEJE leo tuseme eti Muungano ni batili kwakuwa eti cheti hakipo! Makubaliano au muungano ni zaidi karatasi yenye maandishi ya watu wawili! Muungano huu Unawakilisha Muungano wa Jamii ya watu wa Znz na Watu wa bara na umedumu kwa nusu karne mpaka sasa! Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa pande zote mbili yaani CCM na UKAWA wote wako bias ile mbaya! Mifumo wanayopendekeza yanajikita kwenye political gain zaidi! CCM wajua kuwa ndani ya mfumo wa dola mbili wataendelea kutawala milele daima, UKAWA wanajua kuwa ndani ya dola tatu CCM itakosa nguvu na kuachia ngazi! Kama kweli wote wangekuwa na dhamira ya kweli ninauhakika leo hii Tanzania Ingekuwa Moja chini ya Serikali Moja yenye kuendeshwa kwa mfumo wa Majimbo kama zilivyo nchi za wenzetu..


Kumbe tulifanyamakosa kuwatimua wengereza Tanganyika na kuwafukuza masultani zanzibar?

Kwa hoja ya kuishi miaka mingi na utawala,ndoa,au muungano ndio imekua halali tukawaomberadhi wakoloni coz walitawala miaka mingi kuliko muungano wetu wa Tz.
 
Taarifa nilizozipata muda huu ni kuwa Waandishi wa habari wameitwa Ikulu na Katibu Mkuu Kiongozi lengo ni kuwaonyesha Hati Ya Muungano na kukata mzizi wa Fitina Kwa wajumbe wa bunge la Katiba. Tutawajulisha hapa hapa...


attachment.php


Hii ni sehemu ya Mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar...


why notthe whole text?
 
Zitakuwa mbili, moja iko Tanganyika moja iko Zanzibar, ulitaka zote zikae Tanganyika?

Hapana. Mbona sasa Zanzibar wanadai hawana? Amani Karume alimwambia Warioba na tume yake kuwa Mkataba wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo.

Warioba akadai kuwa mkataba huo upo. Karume nae akamjibu “Niletee niuwone." Ina maana miaka yote aliyokaa kwenye Ikulu ya Zanzibar hajawahi kuuona huo mkataba?

Hiyo nakala ya Zanzibar huwa inahifadhiwa wapi? Maana hata Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar alishadai tena mbele ya mahakama kuwa Zanzibar haina huo mkataba na wala ofisi yake haina mkataba huo.

Nakala nyingine ipo Zanzibar, where exactly? Halafu what is so secret in this hati mpaka uwe wa siri hivyo.

This damn thing should be in the public so people can read and study.

I don't understand wale woote waliofanya Ph.D studies za muungano walifanyaje bila kuwa na primary source ya study husika.
 
it is too late to catch the plane at this juncture

Ina maana hii hati kama iko Zanzibar ilikuwa imefichwa na nani kwakuwa rais wa Zanzibar aliwahi kusema hajawahi kuiona. Mbona basi ikulu ya Dar ilimficha?
 
Kwani kuna mgogoro kati ya Tanzania na Zanzibar mpaka kuelekea kudai hati hii kuoneshwa? Mh lisu acha kutuvuruga.
 
Hizo number za fax ni za city centre hapo Dar, kama ni hivyo ni sawa na mie niambiwe nilete cheti cha form wakati mie ni std 7 nachofanya ni kuchukua cheti cha mtu na kukitoa copy then nabandika jina langu alafu ninakituma kwa fax. (Nawaza kwa sauti tu)

Mkuu kama ulimsikia TL kuna siku aliwaasa UKAWA kuwa wasikimbie gemu hili ni size yao.na kweli nimeamini TL alimaanishaa.
 
KM Kiongozi anadai kuwa hati hiyo ni muhimu sana ndo maana ilifichwa. Ameenda mbele zaidi na kudai wataweka nakala kwenye makumbusho ya taifa. 50 years ndo umuhimu wa kuiweka kwenye makumbusho unaonekana. Kama haichekeshi basi inashangaza.
 
Back
Top Bottom