Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Ndugu zangu,
Hadi sasa Tundu ameoneka kuzungumzia haki za mahabusu na wafungwa wakiwemo masheikh wa uamsho.
Ikumbukwe kuwa Rais Magufuli aliahidi kumpa kazi Tundu siku aliyopita Ikungi.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Tundu Lissu anafaa kuwa mjumbe kwenye kamati ya parole inayoongozwa na Ndg.Augustine Mrema.
Tuitumie talanta ya Tundu vema pale atakapomaliza kushiriki kugombea urais.
Nawasilisha.
Hadi sasa Tundu ameoneka kuzungumzia haki za mahabusu na wafungwa wakiwemo masheikh wa uamsho.
Ikumbukwe kuwa Rais Magufuli aliahidi kumpa kazi Tundu siku aliyopita Ikungi.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Tundu Lissu anafaa kuwa mjumbe kwenye kamati ya parole inayoongozwa na Ndg.Augustine Mrema.
Tuitumie talanta ya Tundu vema pale atakapomaliza kushiriki kugombea urais.
Nawasilisha.