Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Tutamteua Magufuli kuwa mwenyekiti wa tume ya maridhiano!Ndugu zangu,
Hadi sasa Tundu ameoneka kuzungumzia haki za mahabusu na wafungwa wakiwemo masheikh wa uamsho.
Ikumbukwe kuwa Rais Magufuli aliahidi kumpa kazi Tundu siku aliyopita Ikungi.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Tundu Lissu anafaa kuwa mjumbe kwenye kamati ya parole inayoongozwa na Ndg.Augustine Mrema.
Tuitumie talanta ya Tundu vema pale atakapomaliza kushiriki kugombea urais.
Nawasilisha.
Kama leo Lumumba watakulipa watakuwa hawajaitendea haki shekeli ya kodi yetuNdugu zangu,
Hadi sasa Tundu ameoneka kuzungumzia haki za mahabusu na wafungwa wakiwemo masheikh wa uamsho.
Ikumbukwe kuwa Rais Magufuli aliahidi kumpa kazi Tundu siku aliyopita Ikungi.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Tundu Lissu anafaa kuwa mjumbe kwenye kamati ya parole inayoongozwa na Ndg.Augustine Mrema.
Tuitumie talanta ya Tundu vema pale atakapomaliza kushiriki kugombea urais.
Nawasilisha.
Unaonaje magufuli ateuliwe kuwa makumu Mwenyekiti wa kamati ya maridhiano?Ndugu zangu,
Hadi sasa Tundu ameoneka kuzungumzia haki za mahabusu na wafungwa wakiwemo masheikh wa uamsho.
Ikumbukwe kuwa Rais Magufuli aliahidi kumpa kazi Tundu siku aliyopita Ikungi.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Tundu Lissu anafaa kuwa mjumbe kwenye kamati ya parole inayoongozwa na Ndg.Augustine Mrema.
Tuitumie talanta ya Tundu vema pale atakapomaliza kushiriki kugombea urais.
Nawasilisha.
AiseeeeBila kupoteza maana, Penye Magufuli weka Lissu na Penye Lissu weka magufuli.
πππIpo kwenye ilani