Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Angepeleka UTI kabisa ..Hizo pesa Si angepeleka utt aims ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angepeleka UTI kabisa ..Hizo pesa Si angepeleka utt aims ....
amna mfanya biahara anae ogopa kupoteza ela na aka fanikiwa hio biashara haikufai kama kijanaKuliko kukurupuka kufanya biashara kwa kuiga bora uweke benki kwenye usalama. Siku zote ukipata fedha za mkupuo, ni vizuri ukazituliza kwanza sehemu kama benki wakati ukifikiri cha kufanya. Na siku ukiamua kufanya biashara ni vizuri uanze na mtaji kidogo sana ili upate uzoefu kwanza.
Biashara yake ni hiyo ya umbea, halafu utashangaa ukiambiwa huyu naye ni wa kiume.Wewe una biashara tuanzie hapo?maana unazungumza kama Mtu asiye na expirience
We komaNaomba nimtumie rafiki yangu kama kidubwasha cha mfano.
Aliuza kiwanja cha urithi kule Nanjilinji, akauza na nyumba aliyopewa pale Mburahati. Akanunua mzigo wa friji na Tv za Sumsung za kutosha, pesa iliyobaki akakodi fremu Sinza, akaajiri kadadaa kamsaidia kuingiza maokoto
Baada ya miezi mitatu kupita, alikafukuza, kisha akamtaka mkewe asimamie maokoto. Mwezi mmoja tena, nilishangaa sana kumkuta yeye mwenyewe golini. Wiki mbili tena nikawa napita mchana namkuta yeye akiwa ameuchapa tu huku udenda ukimmwagika mchana kweupe, siku si nyingi mbeleni nikawa nawakuta yeye na mkewe wameuchapa huku wanakoroma fofofo
Biashara kubwa kubwa zinahitaji connections, social media sponsoring, location nzuri ya fremu, ukarimu wa muuzaji, uhitaji wa bidhaa na mtazamo juu ya hadhi ya watu unaokwenda kuwauzia. Inafikia hatua mpaka msosi wa mchana hupigi ilihali una friji la Boss la 2mil dukani, inachekesha sana. Wateja hawaonekani dukani, basi achukue hata mafuta ya manabii, wapii, au amtafute mshana jr wapande kilingeni, wapi! Inasikitisha sana
Mara mia angewaza hata kufungua duka la nafaka kwa kweli. Ni hayo tu
Basi biashara yake ya umbea ni ngumu sana,maana Haina faida Bora mwenye duka la TV atauza siku isiyo na jinaBiashara yake ni hiyo ya umbea, halafu utashangaa ukiambiwa huyu naye ni wa kiume.
Sijasema mfanyabiashara aogope risk, nimesema achukuwe tahadhari. Kuna tofauti kati ya kuwa makini na kuogopa. Hata kwenye vita kuna wakati majeshi huweza kurudi nyuma siyo kwamba wanaogopa ila wanachukuwa tahadhari.amna mfanya biahara anae ogopa kupoteza ela na aka fanikiwa hio biashara haikufai kama kijana
Mfumuko wa bei kwenye bidhaa ; hela haikai mfukoni!!JANA NIMEPATA LAKI TANO YA MKUPUO HAPA SAA SITA MCHANA NINA ELFU 40 MFUKONI....
SIJUI NIJICHEKE
Kwenye thread flan alisema yeye anauza mitumba karume.....Wewe una biashara tuanzie hapo?maana unazungumza kama Mtu asiye na expirience