Ila biashara nyingine Sinza zinachekesha sana

Ila biashara nyingine Sinza zinachekesha sana

Wewe una biashara tuanzie hapo?maana unazungumza kama Mtu asiye na expirience
Ukiangalia vizuri mtoa mada kaongea sahihi na kazungumza kama mtu mwenye experience hasa kwenye location na connection na progress ya biashara na vitu anavouza jamaa.
 
Uuze nyumba town na uuze eneo ulipo toka alafu uende sinza ukafungue duka la TV na Fridge....alafu kazini ukapige usingizi tena wewe na mke wako......

Ina maana muuza mkaa, dagaa, mchoma mahindi na muuza miwa lazima akupige gap mbaliiiiiiii......
 
Huyo hajafeli bado maana angeweka nguo au vyakula rahisi sana kuaribika mshauri usimcheke abadilishe eneo la biashara asogee makumbusho stand, Mwenge afadhali
 
Naomba nimtumie rafiki yangu kama kidubwasha cha mfano.

Aliuza kiwanja cha urithi kule Nanjilinji, akauza na nyumba aliyopewa pale Mburahati. Akanunua mzigo wa friji na Tv za Sumsung za kutosha, pesa iliyobaki akakodi fremu Sinza, akaajiri kadadaa kamsaidia kuingiza maokoto

Baada ya miezi mitatu kupita, alikafukuza, kisha akamtaka mkewe asimamie maokoto. Mwezi mmoja tena, nilishangaa sana kumkuta yeye mwenyewe golini. Wiki mbili tena nikawa napita mchana namkuta yeye akiwa ameuchapa tu huku udenda ukimmwagika mchana kweupe, siku si nyingi mbeleni nikawa nawakuta yeye na mkewe wameuchapa huku wanakoroma fofofo

Biashara kubwa kubwa zinahitaji connections, social media sponsoring, location nzuri ya fremu, ukarimu wa muuzaji, uhitaji wa bidhaa na mtazamo juu ya hadhi ya watu unaokwenda kuwauzia. Inafikia hatua mpaka msosi wa mchana hupigi ilihali una friji la Boss la 2mil dukani, inachekesha sana. Wateja hawaonekani dukani, basi achukue hata mafuta ya manabii, wapii, au amtafute mshana jr wapande kilingeni, wapi! Inasikitisha sana

Mara mia angewaza hata kufungua duka la nafaka kwa kweli. Ni hayo tu
Mkuu
Hsyo yanajiri maeneo mengi Dar.

Siyo connection bali ni ushiriki binafsi wa shetani kwenye kukwamisha watu. Hapo utakuta jamaa keshapigwa na jambo zito.
Kuna mdada mtaani ana frem ya biashara. Alikuwa ahsubuhi hadi jioni hapati wateja na kikubwa ikikaribia kodi ndo anapatamo wateja akishalipa kodi uhaba wa wateja unamjiri. Saa nyingine anapigwa usingizi analala sana kutwa.

Nikamuambia kuwa hilo jambo mshirikishe Mungu wala usihangaike kwa manabii. Basi akajifunga kibwebwe akasali mwenyewe. Sasa hivi anauza balaa. Ingawa sikutaka kumweleza kuwa mwenye nyumba wake ndo kazifunga hizo frames, maana maduka yaliyosalia mwendo ni ule ule wa kukusanya kodi kisha maisha yanaendelea
 
Naomba nimtumie rafiki yangu kama kidubwasha cha mfano.

Aliuza kiwanja cha urithi kule Nanjilinji, akauza na nyumba aliyopewa pale Mburahati. Akanunua mzigo wa friji na Tv za Sumsung za kutosha, pesa iliyobaki akakodi fremu Sinza, akaajiri kadadaa kamsaidia kuingiza maokoto

Baada ya miezi mitatu kupita, alikafukuza, kisha akamtaka mkewe asimamie maokoto. Mwezi mmoja tena, nilishangaa sana kumkuta yeye mwenyewe golini. Wiki mbili tena nikawa napita mchana namkuta yeye akiwa ameuchapa tu huku udenda ukimmwagika mchana kweupe, siku si nyingi mbeleni nikawa nawakuta yeye na mkewe wameuchapa huku wanakoroma fofofo

Biashara kubwa kubwa zinahitaji connections, social media sponsoring, location nzuri ya fremu, ukarimu wa muuzaji, uhitaji wa bidhaa na mtazamo juu ya hadhi ya watu unaokwenda kuwauzia. Inafikia hatua mpaka msosi wa mchana hupigi ilihali una friji la Boss la 2mil dukani, inachekesha sana. Wateja hawaonekani dukani, basi achukue hata mafuta ya manabii, wapii, au amtafute mshana jr wapande kilingeni, wapi! Inasikitisha sana

Mara mia angewaza hata kufungua duka la nafaka kwa kweli. Ni hayo tu
Biashara pia ni kipawa kama huna upande huo fanya ambacho ni size Yako
 
Naomba nimtumie rafiki yangu kama kidubwasha cha mfano.

Aliuza kiwanja cha urithi kule Nanjilinji, akauza na nyumba aliyopewa pale Mburahati. Akanunua mzigo wa friji na Tv za Sumsung za kutosha, pesa iliyobaki akakodi fremu Sinza, akaajiri kadadaa kamsaidia kuingiza maokoto

Baada ya miezi mitatu kupita, alikafukuza, kisha akamtaka mkewe asimamie maokoto. Mwezi mmoja tena, nilishangaa sana kumkuta yeye mwenyewe golini. Wiki mbili tena nikawa napita mchana namkuta yeye akiwa ameuchapa tu huku udenda ukimmwagika mchana kweupe, siku si nyingi mbeleni nikawa nawakuta yeye na mkewe wameuchapa huku wanakoroma fofofo

Biashara kubwa kubwa zinahitaji connections, social media sponsoring, location nzuri ya fremu, ukarimu wa muuzaji, uhitaji wa bidhaa na mtazamo juu ya hadhi ya watu unaokwenda kuwauzia. Inafikia hatua mpaka msosi wa mchana hupigi ilihali una friji la Boss la 2mil dukani, inachekesha sana. Wateja hawaonekani dukani, basi achukue hata mafuta ya manabii, wapii, au amtafute mshana jr wapande kilingeni, wapi! Inasikitisha sana

Mara mia angewaza hata kufungua duka la nafaka kwa kweli. Ni hayo tu
au amtafute mshana jr wapande kilingeni, wapi! Inasikitisha sana[emoji16][emoji16][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo pesa Si angepeleka utt aims ....

Huku nako ni kufeli kwingine kimaisha

Naweka 10Mil UTT kwa mwaka napata 1.2M as a return

Kwa mwezi ni 120K unaweza kuishi na 120K kwa mwezi ?



Kweli ukiwa na 10 M unashindwa kutuliza akili yako ujue nini cha kufanya upate zaidi ya 120K

Muuza fenesi ananunua fenesi moja elf 3 , kweye kila fenesi moja anatoa vibobo si chini ya 12.

Kila kimoja anauza 1000. Kwa fenesi 1 Anapata 12000 with return of 9000 kwa kila fenesi , akipambana na kuuza fenesi 2 ana elf 18 per day as return , kwa mwezi akiuza kwa wastani wa fenesi 2 anapata 540K .

Na wale jamaa wanauza fenesi hadi 4 per day depend on days hasa wale wa KKO na posta

Piga hesabu mwenyewe .

Wewe unaenda kuweka 10 M UTT kwa mwezi uppkee 120K ,

Ni vitu vya ajabu snaa na hii ni failure system ya elimu yetu.

Vijana wanaandaliwa kuwa waoga na kuajiriwa matokeo wanakosa thinking kabisa

UTT ni nzuri Kama unamilioni 50 hazina kazi , mtoto wako kazaliwa leo , unamuwekea hizo hela , by the time anafika 20 years umri wa chuo , anajisomesha mwenyewe kwa hizo returns . Returns za UTT na other financial institutions huwa ni ndogo sana, ni investment nzuri for future generations Kama wanavofanya wahindi. Unakuta Mhindi katupia 100M UTT na hazigusi next 15 years . Wewe unaenda kuweka 1M ili kwa mwezi wakulipe elf 10 , serious ? UTT riba yao ni 12% annually . Ukiweka 1M kwa mwaka una 120K kwa mwezi ni 10K , kuna kutoboa hapo

cha kufanya fanyeni investment kwenye biashara ambazo risk yake ni ndogo kwa kuanzia then you grow up

Kama you have 10M , invest half of it, the rest acha kwa account , you will use later
 
Hizo biashara sio za kukaa kwenye frem kumsubiri mteja aje , inabid huangaike Sana kutafuta wateja hasa online
 
Back
Top Bottom