Ila biashara nyingine Sinza zinachekesha sana

amna mfanya biahara anae ogopa kupoteza ela na aka fanikiwa hio biashara haikufai kama kijana
 
We koma
 
Usimseme bali Mshauri afanye sponsoring mitandaoni na aweke mzigo kwa ajili hiyo.

Acheze zaidi na mitandao mingineyo. Asisahau kuwa anaweka updates mara kwa mara na kila siku WhatsApp. Watu mtaji.
 
amna mfanya biahara anae ogopa kupoteza ela na aka fanikiwa hio biashara haikufai kama kijana
Sijasema mfanyabiashara aogope risk, nimesema achukuwe tahadhari. Kuna tofauti kati ya kuwa makini na kuogopa. Hata kwenye vita kuna wakati majeshi huweza kurudi nyuma siyo kwamba wanaogopa ila wanachukuwa tahadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…