Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh mkojan anachekeshaga nn?,mm hata siwaelew yaan hata kutabasamu huwa sitabasamu naonaga Kama vilaza flan ivi sijui hate wanaigiza nn jamanBora hao wanaochekesha
NakaziaWanaozofatilia bongo movie huwa siwaelewi kabisa
Ova
Mkuu usimchanganye Seko na hawa wadangaji wa Bongo movie. Seko ana movie Netflix (Binti). Juzi hapa kapata shavu la PEPFAR kutengeneza short films kuhusu UKIMWI.Ni sawa mnishangae kwa kuangalia bongo movie ila chochote kilochotengenezwa na seko shamte au napoleon lazma niangalie [emoji16][emoji16][emoji16]
Hii pia sio ya level ya Bongo movie Mkuu. Sijaelewa kwa nini huku haikuwa promoted sana. Hizi ndio movie ambazo zilitakiwa kui-define Bongo movie.Halafu kuna hawa kijiweni production. Hii movie imeoneshwa almost dunia nzima na hawa jamaa wamepata international awards nyingi. Natamani nijue movies zao unazipataje nje ya kutegemea maonesho ya cinema. Mfano hii naitamani [emoji4]
View attachment 2765132
Naona producer amil anafanya hizi movies kwa ajili ya cinemas tu. Ila sababu ya hili niliskia huwa wanapewa ufadhili wa mambo ya kijamii ambayo haiwaruhusu kutumia hizo movies kibiasharaHii pia sio ya level ya Bongo movie Mkuu. Sijaelewa kwa nini huku haikuwa promoted sana. Hizi ndio movie ambazo zilitakiwa kui-define Bongo movie.
Ahhh huyo mama yupo vizuri sanaaaa Ila naona ndoto yake kubwa sio kuteka soko la ndani Ila dunia kiujumla. Mungu amuongozeMkuu usimchanganye Seko na hawa wadangaji wa Bongo movie. Seko ana movie Netflix (Binti). Juzi hapa kapata shavu la PEPFAR kutengeneza short films kuhusu UKIMWI.
Kwani bado huwa wanatoa mpya?? Maana hata housegirl wangu anaangalia za kutafsiri hiziGhafla Wana JF wote watakuja kusema hawaangaliagi bongo movies.
[emoji23][emoji23]Si afadhali scene hiyo, nilichoka nilipo ona jini limenyunda kwa mguu toka ubungo kwenda mwenge, lilipofika Kivulini likachoka likaamua liombe lifti kwenye bajaji
Hakuna kitu hapo, nilishawishika na demu nikaenda Cinemax Mlimani kuiangalia. Na wao walikuaepo wanaipromote. Hakuna kitu aisee. Yaani ukicheki Movie ya US ya mwaka 1970 na ukaangalia ya Bongo 2023 bado jamaa wametupiga gepu.Halafu kuna hawa kijiweni production. Hii movie imeoneshwa almost dunia nzima na hawa jamaa wamepata international awards nyingi. Natamani nijue movies zao unazipataje nje ya kutegemea maonesho ya cinema. Mfano hii naitamani 😊
View attachment 2765132
Mbona trailer yake kama kali sana na isitoshe hicho kitabu story yake ni nzuri sana. Movie inakuwaje movie inakuwa ya kawaida dahhHakuna kitu hapo, nilishawishika na demu nikaenda Cinemax Mlimani kuiangalia. Na wao walikuaepo wanaipromote. Hakuna kitu aisee. Yaani ukicheki Movie ya US ya mwaka 1970 na ukaangalia ya Bongo 2023 bado jamaa wametupiga gepu.
Angalia iyo sci-fi ya EONII utacheka ufe.
Mkuu, ngoja kwanza nicheke. We bora uishie kusoma kitabu basi.Mbona trailer yake kama kali sana na isitoshe hicho kitabu story yake ni nzuri sana. Movie inakuwaje movie inakuwa ya kawaida dahh
😁😁😁 daaa umenikatisha tamaaMkuu, ngoja kwanza nicheke. We bora uishie kusoma kitabu basi.