Ila bongo Movie bana, eti mfungwa anavaa hereni!

Ila bongo Movie bana, eti mfungwa anavaa hereni!

Asee salam

Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani

Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni

Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee

Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe

View attachment 2764715
I don't know what stresses me more, the fact that the Tz prisoner is full of beard, or the fact that you are still watching bongo movies
 
Asee salam

Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani

Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni

Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee

Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe

View attachment 2764715
🤣🤣🤣 mwenyewe nlishanga hli swala ila ndo movie zetu za bongo
 
Asee salam

Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani

Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni

Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee

Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe

View attachment 2764715
Mtuache sasa...🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌
 
Si afadhali scene hiyo, nilichoka nilipo ona jini limenyunda kwa mguu toka ubungo kwenda mwenge, lilipofika Kivulini likachoka likaamua liombe lifti kwenye bajaji
Hii nayo chai
 
Asee salam

Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani

Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni

Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee

Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe

View attachment 2764715
Hapo ukute kaambiwa na director avue kagoma kwakua ni Star! Afrika kila kitu ni takataka!
 
Si afadhali scene hiyo, nilichoka nilipo ona jini limenyunda kwa mguu toka ubungo kwenda mwenge, lilipofika Kivulini likachoka likaamua liombe lifti kwenye bajaji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jela nyingi za Nje wanavaa hereni na kujichora tattoo za makundi ya Umafia wao niliwahi kumuona dogo mmoja muuaji Cape Town brazameni balaa utadhani muimbaji ila alikua na kesi za mauaji zisizopungua 10 na huko jela anaishi kama mfalme maana anakua na kikundi chake cha umafia Jela na kumlinda pia hao ndio 26 w Polsmor jail...
 
Jela nyingi za Nje wanavaa hereni na kujichora tattoo za makundi ya Umafia wao niliwahi kumuona dogo mmoja muuaji Cape Town brazameni balaa utadhani muimbaji ila alikua na kesi za mauaji zisizopungua 10 na huko jela anaishi kama mfalme maana anakua na kikundi chake cha umafia Jela na kumlinda pia hao ndio 26 w Polsmor jail...
Hiyo ni nje
Bongo mfungwa haruhusiwi kuvaa hereni wala kufuga midevu
 
Hiyo ni nje
Bongo mfungwa haruhusiwi kuvaa hereni wala kufuga midevu
OK sawa sawa sema Bongo wanaofanya shughuli za Movie hata kutembelea Jela hawawezi kujua huko kupo vipi pana movie za nje ukiangalia wahuni wanakua wajela jela kweli maana wanasoma mazingira ya Jela kabla hawajatoa Movie yao...
 
Asee salam

Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani

Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni

Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee

Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe

View attachment 2764715
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele .[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom