scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I don't know what stresses me more, the fact that the Tz prisoner is full of beard, or the fact that you are still watching bongo moviesAsee salam
Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni
Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee
Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe
View attachment 2764715
Huyo jamaa mkojani sijawahi kumuelewa ...nashindwa kuelewa mashabiki wake wana akili ya namna ganDuuuh mkojan anachekeshaga nn?,mm hata siwaelew yaan hata kutabasamu huwa sitabasamu naonaga Kama vilaza flan ivi sijui hate wanaigiza nn jaman
😀😀😀😀 Wako Kama yeye,chunguza uwone.Huyo jamaa mkojani sijawahi kumuelewa ...nashindwa kuelewa mashabiki wake wana akili ya namna gan
🤣🤣🤣 mwenyewe nlishanga hli swala ila ndo movie zetu za bongoAsee salam
Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni
Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee
Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe
View attachment 2764715
[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji28]
Mtuache sasa...🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌Asee salam
Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni
Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee
Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe
View attachment 2764715
Mimi pia ila inaelekea humu ana mashabiki wengi na kwenye mabasi. Sijawahi kumwelewa kabisa.Huyo jamaa mkojani sijawahi kumuelewa ...nashindwa kuelewa mashabiki wake wana akili ya namna gan
Count me in....simuelewagi. namuonaga ana kelele tu.Mimi pia ila inaelekea humu ana mashabiki wengi na kwenye mabasi. Sijawahi kumwelewa kabisa.
HakikaTangu mwaka 2010 tuliwaachia wadada wa kazi kuangalia Bongo movie.
Hii nayo chaiSi afadhali scene hiyo, nilichoka nilipo ona jini limenyunda kwa mguu toka ubungo kwenda mwenge, lilipofika Kivulini likachoka likaamua liombe lifti kwenye bajaji
Hapo ukute kaambiwa na director avue kagoma kwakua ni Star! Afrika kila kitu ni takataka!Asee salam
Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni
Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee
Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe
View attachment 2764715
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si afadhali scene hiyo, nilichoka nilipo ona jini limenyunda kwa mguu toka ubungo kwenda mwenge, lilipofika Kivulini likachoka likaamua liombe lifti kwenye bajaji
Hiyo ni njeJela nyingi za Nje wanavaa hereni na kujichora tattoo za makundi ya Umafia wao niliwahi kumuona dogo mmoja muuaji Cape Town brazameni balaa utadhani muimbaji ila alikua na kesi za mauaji zisizopungua 10 na huko jela anaishi kama mfalme maana anakua na kikundi chake cha umafia Jela na kumlinda pia hao ndio 26 w Polsmor jail...
OK sawa sawa sema Bongo wanaofanya shughuli za Movie hata kutembelea Jela hawawezi kujua huko kupo vipi pana movie za nje ukiangalia wahuni wanakua wajela jela kweli maana wanasoma mazingira ya Jela kabla hawajatoa Movie yao...Hiyo ni nje
Bongo mfungwa haruhusiwi kuvaa hereni wala kufuga midevu
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele .[emoji23]Asee salam
Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni
Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee
Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe
View attachment 2764715