Kinachoua bongo movie na kupelekea kutokupendwa na ni kuruhusu kuruka hewani kwa movie za kiwango Cha chini kbx hata wenzetu zipo movie za hvyo ila wale ukiona movie imechukuliwa na Netflix au Amazon au prime unakuta wamekagua kila kitu ndio wanailipia movie inaenda hewan tofauti na sisi watu wapo nzega huko wamekusanyana wnaigiza unapeleka Azam tv wanaichukua wanarusha mtu anakuja kukutana na hizo Mambo za jini linavuka barabara na mistake kibao
Na huu ujinga alianzaga msambazaji wao wa mara ya Kwanza steps entertainment alikuwa anachukua kila aina ya takataka Cha msingi maokoto ikapelekea mpk yeye mwenyew kufunga ofisi
Tatizo linaanza hapo hata wenzetu zipo movie za kawaida na Zina ujinga tu kama wa bongo movie zetu ila kwa movie tunazozipata ni zile za high quality ambazo kupata makosa mpk ukae chini na jopo muanze kutafuta
Ndio maan wengi kabla awajadownload movie wanaangalia Ina rate ya ngapi