Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Hapa kavalishwa Jacket la Suit ya Mwakalebela. Zito limemvaa. Anajitahidi kusimama wima. Unamwona tu kachoka. Huyu dogo ameteswa sana. na miwani ya welding anasema hapo alikuwa hata haoni vizuri mbele. Ila ndo aliambiwa avae hivyo apendeze
Sielewi kwa nini walikuwa wanamfanyia hivi. Hapo bado anatakiwa Uwanjani aende akavae Hirizi tatu nazo anasema zilikuwa zinamlemea na kuhatarisha maisha yake.
Sielewi kwa nini walikuwa wanamfanyia hivi. Hapo bado anatakiwa Uwanjani aende akavae Hirizi tatu nazo anasema zilikuwa zinamlemea na kuhatarisha maisha yake.