Dogo hakumtuma maza Bali waandishi ndio wamemfata maza kumuhojiKatika vyote dogo amebugi sana kumuhusisha mama yake katika haya mambo.
Wabongo walivyokosa staha mama wa watu atashambuliwa na kufanyiwa dhihaka mpaka dunia aione chungu. Maana ghafla mama kawa msemaji wa mwanae kuhusu maslahi ya mpira.