Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
TULIOSOMA bOARDING za serikali TUNAYAJUA HAYA MABWENI
Nabi: Safi sana umefunga goal muhimu leo unapata mifuko mitatu ya sukari
Huoni kavalisha jacketi mnaita koti la Mwakalebela?nzito mpaka kaegamia kwa mwenzie? Na miwani ya weldingKwahyo hii picha ndo inaonyesha mateso makali aliyokuwa anapewa na Yanga?
Naona hapa amechukua sasa sukari yake, kwa ajili ya kwenda kulia ugali! π
Eti kwenda mazoezini kwa bodaboda, nayo ni mateso!! πKwa mateso aliyopitia ni ngumu kuzuia machozi. Wamemtesa Sana.
Sasa yanga wanamkomesha vipi wakati mshahara wanalipa? Wazuie salaryogopa sana kumnyanyua maskini wa kiafrika.
Fei ulitaka kuvuka malengo ila baada ya kuona kichwa kimezidi kinyeo kama cha askari anayetrend ukaamua kuwanyea yanga kutaka kuondoka.
Yanga watakukomesha
Maza mkuda balaaNaona hapa amechukua sasa sukari yake, kwa ajili ya kwenda kulia ugali! π
Mama Fei, Mungu anakuona wallah!!
.....ogopa kumnyanyua maskini wa kiafrika....βββββogopa sana kumnyanyua maskini wa kiafrika.
Fei ulitaka kuvuka malengo ila baada ya kuona kichwa kimezidi kinyeo kama cha askari anayetrend ukaamua kuwanyea yanga kutaka kuondoka.
Yanga watakukomesha
kakune Nazi basi.Hapa kavalishwa Jacket la Suit ya Mwakalebela. Zito limemvaa. Anajitahidi kusimama wima. Unamwona tu kachoka. Huyu dogo ameteswa sana. na miwani ya welding anasema hapo alikuwa hata haoni vizuri mbele. Ila ndo aliambiwa avae hivyo apendeze
Sielewi kwa nini walikuwa wanamfanyia hivi. Hapo bado anatakiwa Uwanjani aende akavae Hirizi tatu nazo anasema zilikuwa zinamlemea na kuhatarisha maisha yake.
View attachment 2534617
Sana [emoji23][emoji23]
Niletee basi niikune...iwe vizuri lakini.kakune Nazi basi.
Kuna siku nilikuwa natafuta suti mpya nikaingia mtandaoni. Ikanipeleka website ya duka moja liko Masaki, kucheki mteja wao mmoja ni Chama maana walipost picha zake akiwa kavaa suti zao. Nikapiga simu kuuliza bei, nimalizie tu kwa kusema ilikuwa juu ya bei elekezi π€£ππ€£πSuti VS Shuti
View attachment 2534716
Naamini yule Mama ametumia msemo tu wa Kizanzibari huko ila watu wametembea na maneno yake juu kwa juu kuleta mizaha na sasa wanamhukumu kwa maneno hayo.Maza mkuda balaa
Teh teh teh πππ nyie raia bhana teh teh teh πππHapa kavalishwa Jacket la Suit ya Mwakalebela. Zito limemvaa. Anajitahidi kusimama wima. Unamwona tu kachoka. Huyu dogo ameteswa sana. na miwani ya welding anasema hapo alikuwa hata haoni vizuri mbele. Ila ndo aliambiwa avae hivyo apendeze
Sielewi kwa nini walikuwa wanamfanyia hivi. Hapo bado anatakiwa Uwanjani aende akavae Hirizi tatu nazo anasema zilikuwa zinamlemea na kuhatarisha maisha yake.
View attachment 2534617