Ona ulivo mjinga, mbona sheria zipo wazi kabisa, kama chadema kingekuwa cha kisultan unadhani msajili angekuwa amekiacha mpaka leo bila kukifuta..!?
Kuana kikundi dhaifu nchi hii kama CCM!? Katibu mkuu wenu kathibitisha mara nyingi jinsi mnavotegemea dola kubaki madarakani, utasema hicho ni chama kweli..!? Chama kinachotegemea dola..!?
Chama lazima kiwe na ushawishi kwa wananchi, CCM kama kikundi cha wahuni kimepoteza uwezo wa ushawishi.
Afu ulivokosa ufaham unashindwa tambua CCM imekufa, kwa aina ya viongozi wake ni wazi lazima watumie njama chafu, fikiria watu kama polepole, kibajaj, nape, Makonda, Kigwangala, Ndugai, Bashiru nk. Hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kujenga hoja na ushawishi wote ni empty kwenye ushawishi na mikakt ya hoja.
Ndiyo wamepata kuwepo, Nyerere, Mkapa, Sitta, Kikwete na baadhi, ila kwasasa CCM imebak na watu waliokosa weredi