Uchaguzi 2020 Ila jamani sehemu alizopita Tundu Lissu ama kwa hakika CHADEMA ina makamanda, CCM sasa ijifunze kuishi na chama mbadala!

Tangu mwaka 1992 ofisi ya chama ndio ile ya ufipa, sidhani kama CDM imeshafikia hadhi ya kuwa chama mbadala.

Bado ni chama chenye kumezwa na haiba za mtu mmoja mmoja kuliko kuwa ni taasisi yenye nguvu kuliko mtu.
Nyie si mnazichota tu HAZINA...CHADEMA haina HAZINA.NAO WAKISHIKA NCHI WATAJENGA TUU.
 
Jengeni ofisi yenye hadhi za chama acheni blah blah za kuhalalisha “kupigwa”.
 
Watu tumepikwa tukapikika bwana! Asante sana Mbowe kwa Malezi bora ya vijana hawa.
 
Hao uliowataja huwezi kuwalinganisha na yoyote yule anayemzunguka Lissu.

Acha porojo, mwambieni kaka wa Hai ofisi kubwa ni muhimu kujengwa.
 
Tangu mwaka 1992 ofisi ya chama ndio ile ya ufipa, sidhani kama CDM imeshafikia hadhi ya kuwa chama mbadala.

Bado ni chama chenye kumezwa na haiba za mtu mmoja mmoja kuliko kuwa ni taasisi yenye nguvu kuliko mtu.
You are wrong mkuu, kma hili lingekua kweli CHADEMA inge collapse siku Zitto, Dr Slaa ama Wabunge walipoondoka.

Kma bado taasisi imesimama licha ya oppression ya miaka 5 unadhani hawana taasisi imara? Kma ni individual power nini kimewafanya wawe sustainable mpaka leo
 
Bado ni individual powers na influence za mtu mmoja mmoja.

Wanahitaji sana kuupanua mtandao wao kila kona ya nchi ili ile dhana ya uongozi wa juu kugawa nafasi kwa upendeleo iweze kufa.
 
Tangu mwaka 1992 ofisi ya chama ndio ile ya ufipa, sidhani kama CDM imeshafikia hadhi ya kuwa chama mbadala.

Bado ni chama chenye kumezwa na haiba za mtu mmoja mmoja kuliko kuwa ni taasisi yenye nguvu kuliko mtu.
Una gari nzuri mke na watoto wako wanalala njaa!

Maendeleo ni watu sio vitu.
 
Bado ni individual powers na influence za mtu mmoja mmoja.

Wanahitaji sana kuupanua mtandao wao kila kona ya nchi ili ile dhana ya uongozi wa juu kugawa nafasi kwa upendeleo iweze kufa.
Mkuu Kanda za CHADEMA ndio zimekipa uhai chama na hyo ni juhudi ya Mwenyekiti kufanya ugatuzi wa madaraka kutoka ufipa hadi kwa wanachama wa chini.

Sasa kma huwezi ona hilo sijui nikusaidieje kukuelewesha kuwa CHADEMA imekua taasisi imara kuliko kutegemea individual power ''Now, more than ever before''.
 
Mpe elimu mpe elimu.
 
Tangu mwaka 1992 ofisi ya chama ndio ile ya ufipa, sidhani kama CDM imeshafikia hadhi ya kuwa chama mbadala.

Bado ni chama chenye kumezwa na haiba za mtu mmoja mmoja kuliko kuwa ni taasisi yenye nguvu kuliko mtu.
Tangu mwaka 19961 bado ni watu wa kulia uhaba wa madawati, upungufu wa madarasa, makazi duni huduma duni za afya, kilimo duni na ukosefu wa maji safi. Sidhani kama ccm kinafaa kuendelea kushikilia dola
 
Yani hadi mkurugenzi wa tume ya taifa ameombwa kuipigia kampeni ccm!! 🤣🤣🤣🤣
 
Tangu mwaka 19961 bado ni watu wa kulia uhaba wa madawati, upungufu wa madarasa, makazi duni huduma duni za afya, kilimo duni na ukosefu wa maji safi. Sidhani kama ccm kinafaa kuendelea kushikilia dola
Hizo changamoto unazosema wewe huwa zikitaka kufanyiwa utatuzi wabunge wenye ofisi yao pale ufipa wanatoka nje wakiwa wameziba midomo yao wakiendeleza siasa.

Utatuzi wa yote uliyoyataja unategemea ushirikiano wa wabunge wote.

Kumbuka asilimia 80 ya vijiji ina umeme kwa sasa, nenda nchi nyingine za Afrika ukaulize ni asilimia ngapi ya wananchi wanao umeme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…