Ila JF bwana!

kuna mmoja aliomba ushauri kuhusu biashara ambayo,mimi nina experince nayo na ndio biashara yangu inayoendesha ziku zangu za uhai basi nikawa nasoma comment anavyopewa abc ndio nikajuwa kuwa humu kuna chai nyingi mnoo😁
 
kuna mmoja aliomba ushauri kuhusu biashara ambayo,mimi nina experince nayo na ndio biashara yangu inayoendesha ziku zangu za uhai basi nikawa nasoma comment anavyopewa abc ndio nikajuwa kuwa humu kuna chai nyingi mnoo😁
Hahaha kila mtu humu ni motivational speaker mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi monetary doctor niwe mkweli, sina kazi naombeni kazi, nijifunze na kuongeza ujuzi ni muhimu sana.

sina kipato chochote nikipata kazi nitapata kipato

Nitaweza kutimiza bills za kila siku km msosi, nauli, umeme Kodi,

wakuu, matajiri, wakurugenzi, wamiliki, mameneja, mkiona mesej hii semeni kitu juu yangu!

Natanguliza shukrani za dhati
 
NAKUTAKIA MEMA MKUUUπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…