and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
AI is real kiongozi.. sio chai.Vipi ishu zako za AI ni kweli au chai tu kama chai nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AI is real kiongozi.. sio chai.Vipi ishu zako za AI ni kweli au chai tu kama chai nyingine
Jamaa hatari sana humu... hahah, sijui huwa wanatunga hizo hadithi saa ngapi, ila ni kipaji..Mara eti alichukulia na jini akapewa mali ila wana JF bwana 😂😂😂😂
Nazungumzia yako ile ya kubuni picha isiyowahi kuwepo dunianiAI is real kiongozi.. sio chai.
Hatari sana, I can't wait 🤣 .Umeiona chuma yangu limousine yangu hapo?
View attachment 3241293
Nazungumzia yako ile ya kubuni picha isiyowahi kuwepo duniani
UnafanyajeView attachment 3241304
Kama hizi picha kiongozi.. si unaona plate number ya gari ni blur na imeandikwa ID yangu... this is AI..
Hahaha kila mtu humu ni motivational speaker mkuu😂😂😂kuna mmoja aliomba ushauri kuhusu biashara ambayo,mimi nina experince nayo na ndio biashara yangu inayoendesha ziku zangu za uhai basi nikawa nasoma comment anavyopewa abc ndio nikajuwa kuwa humu kuna chai nyingi mnoo😁
Hatari sana, I can't wait 🤣 .
Naona pia una 100 more limousines, utajiri kama huu sijawahi kuona, hata bilionea Lugumi anasubiri 😍.
Na video zenye picha kama hizi unaweza kutengeneza?View attachment 3241310
Hapo nilikua na kikao na ELon Musk na Lugumi kwenye hio Hotel...
Tena video natengeneza kama movie... nitazipost siku moja.. naona uvivu ku convert ni 4K..Na video zenye picha kama hizi unaweza kutengeneza?
Unesomea wapi hiiTena video natengeneza kama movie... nitazipost siku moja.. naona uvivu ku convert ni 4K..
Hakuna humu 😃😃😀😀Aisee, kumbe humu na hackers wa kimataifa wapo?
Jf hatari..
NAKUTAKIA MEMA MKUUU💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿Mimi monetary doctor niwe mkweli, sina kazi naombeni kazi, nijifunze na kuongeza ujuzi ni muhimu sana.
sina kipato chochote nikipata kazi nitapata kipato
Nitaweza kutimiza bills za kila siku km msosi, nauli, umeme Kodi,
wakuu, matajiri, wakurugenzi, wamiliki, mameneja, mkiona mesej hii semeni kitu juu yangu!
Natanguliza shukrani za dhati
Amini Amin Mr Eli CohenNAKUTAKIA MEMA MKUUU💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Hahahahh...Hakuna humu 😃😃😀😀