Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ndo hivyo. Bila uvumilivu kwenye ndoa hutoboi. Utaacha wangapi?HAA!! 🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyo. Bila uvumilivu kwenye ndoa hutoboi. Utaacha wangapi?HAA!! 🙄🙄
Aisee bonge ya zali, mbona sijakupata tangu zamani😀😀Mchumba mie nikikufumania naunga tupige three some 😋😋😋
Ndoa ni uvumilivu. Kama hutaki ungana na kataa ndoa. Unamuacha yule ambaye anakuletea dharau..ukiombwa msamaha ile kutoka moyoni unasamehekwanini?
Mwanaume anahitaji heshima kutoka kwa mwanamke.Ndo hivyo. Bila uvumilivu kwenye ndoa hutoboi. Utaacha wangapi?
Hata mwanamke anaitaji heshima. Wewe nenda kacheat uone kama utaendelea kuheshimiwa kama mwanzo.Mwanaume anahitaji heshima kutoka kwa mwanamke.
Je, Hicho ni kitendo kinachoashiria heshima?
Mwanaume dhaifu tu ndiye anaweza kukubaliana na ujinga wa aina hii.Damu yangu Ibn Unuq unasemaje kuhusu hili
Halafu wewe unatafuta malaya anayetoka na wanaume wengi kila siku. Hiyo ni akili au matope?Mwanaume dhaifu tu ndiye anaweza kukubaliana na ujinga wa aina hii.
A real man unamwacha huyo mwanamke aende kwa huyo anayempa huduma nzuri.
Let her find the best place for her and never ever accept her again.
Unatoka nje ya mada, Hapa tunajadili kuishi na mwanamke aliye cheat.Hata mwanamke anaitaji heshima. Wewe nenda kacheat uone kama utaendelea kuheshimiwa kama mwanzo.
Ww unajua anapewa nini na mkewake?Kuna jamaa yetu tuko nae hapa kwa wachina.alimfumania mkewe wa ndoa takatifu kabisa analiwa na njemba nyingine ila cha ajabu jamaa limemsamehe mkewe na saivi limemrudisha nyumbani.
Huu ni uzoba au jamaa limerogwa?
Chukua bapa kubwa hapo 🍺👊.....Mwanaume dhaifu tu ndiye anaweza kukubaliana na ujinga wa aina hii.
A real man unamwacha huyo mwanamke aende kwa huyo anayempa huduma nzuri.
Let her find the best place for her and never ever accept her again.
Hata Biblia inakataza kumsameheUchi wa mwanamke umeumbwa na maajabu yake 😀
Sikupingi na mtazamo wako.Unatoka nje ya mada, Hapa tunajadili kuishi na mwanamke aliye cheat.
Nimekwambia hiyo ni disrespect, Siwezi kukubaliana nayo.
Wanawake wa kileo wanapenda wanaume kama hawa na sahivi ndiyo wapo wengi sana kazi kwaoKuna jamaa yetu tuko nae hapa kwa wachina.alimfumania mkewe wa ndoa takatifu kabisa analiwa na njemba nyingine ila cha ajabu jamaa limemsamehe mkewe na saivi limemrudisha nyumbani.
Huu ni uzoba au jamaa limerogwa?
Malimbwata hayo,kuna jamaa alikuwa ni mpangaji wangu alikuwa anachapwa fimbo na mkewe kila akichelewa kurudi nyumbani,mke wangu akaiga ujinga wakaanza kupelekana kwa waganga ili na mm nilishwe dawa nisiwe na kauli,kilichofuata nilimtimua mpangaji na huyo wife nikamtia talaka,Kuna jamaa yetu tuko nae hapa kwa wachina.alimfumania mkewe wa ndoa takatifu kabisa analiwa na njemba nyingine ila cha ajabu jamaa limemsamehe mkewe na saivi limemrudisha nyumbani.
Huu ni uzoba au jamaa limerogwa?
Ulipiga kwenye mshonoMalimbwata hayo,kuna jamaa alikuwa ni mpangaji wangu alikuwa anachapwa fimbo na mkewe kila akichelewa kurudi nyumbani,mke wangu akaiga ujinga wakaanza kupelekana kwa waganga ili na mm nilishwe dawa nisiwe na kauli,kilichofuata nilimtimua mpangaji na huyo wife nikamtia talaka,
Au anapewa vitu ambavyo ana uhakika hawez vipata kwingineUkute ana umuhimu mkubwa kwenye maisha yake.
Ubunifu ni kila kitu sasa hivi 😅😅😅😅nina mpango wa kwenda kusomea.Au anapewa vitu ambavyo ana uhakika hawez vipata kwingine