Ya kale dhahabu
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 317
- 495
Uzoba tu wa jamaa, ubunifu gani ukufanye kipofu labda pia jamaa mgeni kwenye hiyo sector yani hajayaona mengi zaidi ya kwa mke wakeUbunifu ni kila kitu sasa hivi π π π π nina mpango wa kwenda kusomea.
Hata usipoteze pesa yako kwenye hizo mambo. Utamuweza mtu kwenye eneo moja, atakuacha kwasababu ya jambo jingine kabisaa.Ubunifu ni kila kitu sasa hivi π π π π nina mpango wa kwenda kusomea.
Mwataka nini kwani nyie π π πHata usipoteze pesa yako kwenye hizo mambo. Utamuweza mtu kwenye eneo moja, atakuacha kwasababu ya jambo jingine kabisaa.
Ni kweli mkuuKumfumania mke halafu ukamsamehe huu ni ugonjwa wa akili
Ukute anaambiwa kula ndo ule πUzoba tu wa jamaa, ubunifu gani ukufanye kipofu labda pia jamaa mgeni kwenye hiyo sector yani hajayaona mengi zaidi ya kwa mke wake
Yaan hii game ya love and affairs hata haielewekagu. Dynamics zake ziko very shifting, never at all constant. Wengi hatujui hata nin tunataka.Mwataka nini kwani nyie π π π
Tupe story kidogo basi π π πYaan hii game ya love and affairs hata haielewekagu. Dynamics zake ziko very shifting, never at all constant. Wengi hatujui hata nin tunataka.
Japo kwa wanaume angalau inajulikana tunapenda ni mapenzi ya kweli na utulivu baaasi.
Nikisimulia yangu hapa naogopa nisije fukuzwa kwenye chama chetu.
Waache wapigiwe tu, ili waendelee kusamehe...na wakishasamehe; Mwanamke anaendelea tna kupigwa miti nje, maana anajua hata akikamatwa tena, atasamehewa tu 7X70=490Wanawake wa kileo wanapenda wanaume kama hawa na sahivi ndiyo wapo wengi sana kazi kwao
Nilikuwa busy na mishangazi kidogo uniue inataka kila saa π€£π€£π€£Aisee bonge ya zali, mbona sijakupata tangu zamaniππ
Dah ππ mwanaume mwenzetu mmemuweza yani akiri imehama kabisa limebaki fuvu tuUkute anaambiwa kula ndo ule π
Hakuna sababu inayohalalisha m/ke au me kutoka nje ya ndoa ,kama kuna mapungufu ni kuyaongea pamoja na kuweza kuyasolve kwa pamoja ,ukienda nje kisirisiri means hapo hakuna ndoa ni kuivunja tu.Usimseme huku haukumuuliza sababu na haukumuuliza mkewe pia y amefanya hayo.
Lengo la mahusiano ni kudo..mengine mbwembwe tuNilikuwa busy na mishangazi kidogo uniue inataka kila saa π€£π€£π€£
Kwako nitaikunja kila muda mchumba saut yako tu inanimalizaπππLengo la mahusiano ni kudo..mengine mbwembwe tu