Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Unaonekana ni tu wa dini sana mkuu,.

Ndio maana wanasemaga Muda huponya,. Mwacha tu aendelee kuhenyeka
 
Pole sana.
Mimi jamani mtu akianza tu kunitapeli namshtukia hapo hapo, huo uchawi wa aina hiyo usinipate kwa kweli
 
Mm kamwe siwezi kukutana ghafla barabaran na stranger alafu aongelee hela na nimsikilize.
Mara nyingi namkataa sitaki mazoea hayo
 
Ee Mungu wangu🤔
 
ASante mkuu,.
Ila sentensi ya mwisho imeniwazisha kidogo
 
Mitaa yangu kabisa hiyo.

Kuna classmate wangu walimtapeli kwa style hiyo kule Peramiho. Kuna madawa wanatumia kukupumbaza.

Usiruhusu kuongea sana na sura ngeni mabarabarani humu. Mambo ni mengi.
Kwakweli,. Nawaza hivi ndio nilikua sina akili wakati hadi najaza fomu mle ndani ya kutoa hela na kuwafata tena kuwapa.

Huenda kweli wanatumia madawa
 
Pole sana.
Mimi jamani mtu akianza tu kunitapeli namshtukia hapo hapo, huo uchawi wa aina hiyo usinipate kwa kweli
Usikupate tu mkuu, maana kwa jinsi wanaongea na wewe huwezi kujua hata kama wanakutapeli akili sijui ilikuwa wapi maskini
 
Kuhusu hilo duka la hao watawa nafikiri ni la vitabu kama nilivyosema lakini kama ukikuta ni tofauti basi we ingia tu usijali itakuwa nimenote tofauti maana nishawahi kufika hapo niliona kama vitabu vile. Nimekupanga mapema usije kufika hapo ukajikuta unalitafuta sana. Ok good luck to you!
 
Unaonekana ni tu wa dini sana mkuu,.

Ndio maana wanasemaga Muda huponya,. Mwacha tu aendelee kuhenyeka
Hapana hata sio mtu wa dini, sema tu by nature nipo hivyo pia maisha yanatufundisha. Ila upande wa pili pia niko brutal sana pia, huwa sitabirikagi.
 
Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…