dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Baadhi ya watanzania wapumbavu sana. Unakuta mtu anapigiwa simu na mtu asiyemjua na anaulizia taarifa zake binafsi jitu limekomaa kujibu utadhani liko kwenye mtihani! Likitoka hapo linasingizia uchawi badala ya upumbavu wake.Sema umetapeliwa kizembe mno kuna utapeli mtu ukifanyiwa unaweza sema hii bahati mbaya tapeli katumia akili nyingi, a hii ya kwako haina hata haja ya uchwaw wamekuona bumunda