Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Songea Town ishakua ya hovyoo kwenye Utapelii.

Tena mtaa wa Zanzibar n hatari, Polee sana mwayaa, hiyo itakua St Joseph schools, ile ya Mahenge.

Niliwahi tapeliwa 140k tena kwa kuwapa mwenyewee.
Hatarii tupu.
 


Pole sana mkuu... But soko la wapi hilo, maana sijaelewa hapo unavyosema sokoni eti.
Itakuwa Songea ndugu maana hayo mazingira aliyoyataja yanahusiana na huko
 
Pole sana, mjini kawaida sana iyo.
matapeli wanatumia uchawi ila kuna vichwa panzi humu ni ngumu sana kuamini lakini huo ndo ukweli.

Next time usitumie zaidi ya dk moja kuzungumza na mtu usiemjua kwenye mizunguko yako ya kila siku, utajikuta unaenda nae kwako unamtolea kila kitu cha thamani ndani na kumpatia kisha atokomee pasipojulikana. Ishawakuta wengi sana hii
 
gari ya st joseph university pale mbezi luguruni nenda pale ivizie lazima utaiona si nyeupe
 
watu kama nyie huwa mnatapeliwa kiboya sana. Don't reply
Must reply bhana!
Ninavyojisifu na kujitukuza nilishakwepa vihunzi ambavyo wewe lazima ungelizwa.

Tapeli yeyote yupo kama shetani ni kwambie!

Hana rangi wala haiba.

Je ushawahi kuwaza kwamba tapeli anaweza kukuingia kupitia mkeo, wazazi ama mtu wako wa karibu?

Tapeli hana kiwango mahsusi cha kutapeli mtu.

Tapeli pia anaweza kuja kwa njia ya kukuomba mkopo ili atimize azima yake.

Mkuu usiniunderate namna hiyo, mwenzako nishakwepa mishale mingi sana na mbinu za kila aina nazijua.

Kuibiwa sikatai, labda aje na 'fatuma' kunipora kimakame nguvu.
 
We
Wengine wanakupigia Hadi lugha ya kikabila af anakushirikisha Dili flani la maana Kisha anakupiga hapohapo
 
Pole Dada nitumie account yako nikutumie ya kufuta machozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…